Tazama tangazo hilo hapo chini Je hilo kanisa ina maana wote lugha ya kiingereza ndio iko gongana? ni vema kama kuna mtu anafahamu lilipo awaambiye waliondoe maana halileti picha njema kwa wampendao na kumkiri MUNGU.:A S thumbs_down:
Asante kwakutuletea huku katika JF Maana niliikuta katika facebook nikacheka sana!!!Lakini juu ya yote nikukosa vifaa!!na watalaamu wa drawing,painting.atc
Tazama tangazo hilo hapo chini Je hilo kanisa ina maana wote lugha ya kiingereza ndio iko gongana? ni vema kama kuna mtu anafahamu lilipo awaambiye waliondoe maana halileti picha njema kwa wampendao na kumkiri MUNGU.:A S thumbs_down:
Kama msomaji anayemcha Mungu basi lile neno "ASS" ataelewa ni kifupi cha Assemblies. Mbona kuna namba za magari zina herufi "ASS" je na zenyewe zitolewe? Hapa tatizo ni dogo kwa mwandishi baada ya kusahau 'a period' kuonesha kuwa hicho ni kifupi. Pia lugha inaendana na context! Aliyeshikwa na shetani basi yeye atashikilia maana moja tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.