Kuna mtu namjua alisoma sekondari ya wasichana Loleza kwa miezi 6 akiwa form 6,alipewa adhabu kukaa nyumbani miezi 6 arudi siku 3 kabla paper..akarudi kwao Mbeya,akaomba kuwa anahudhuria masomo Loleza akakubaliwa(baba yale alikuwa mzito mkoani)...miaka ile hakukuwa shule ingine ya HGL Mbeya...jamaa akasoma kwa miezi 6 akiwa day scholar...
1988 - 1992 alisoma BCOM UDSM miaka mitano,1996 - 1997 Mastres UDSM hii masters ya wapi ya miezi kadhaa tena UDSM
Vijana wa siku hizi mnatakiwa unapotaka kuchangia hoja jitahidi kutafuta data za kusuport hoja yako, hesabu mnayotoa si ya kipindi chetu wakati tunasoma.
Zamani vyuo vilikuwa vinafunguliwa kwa admission july -september, hivyo hesabu ya miaka kwa undergraduate kwa mwaka mmoja wa masomo ulikuwa unahesabu miaka miwili kama unavyohesabu mwaka wa fedha wa serikali. Kwa hiyo 1988/89 yr 1, 1989/90 yr 2, 1990/91 yr 3, na mwaka ule kama sijakosea ndo UDSM ilifungwa kwa mgomo mkubwa kuwahi tokea ndo mana wengi wanaonekana kuna mwaka mmoja wa ziada.Kwa graduate studies tulikuwa tunaanza januari, hivyo ukiangalia na miaka miwili yaani miezi 18 kama utaratibu wake ukitumia thesis system. Mana pia ktk graduate unaweza tumia course work masters ambayo mda wake unakuwa mfupi
inawezekana, mimi nimesoma old moshi na kulikuwa na wanafunzi wa kike wanasoma day pale. Pia inawezekana amefanya kama pc pale na hakuwah kufanya mtihani kama school candidate we unategemea aandike kasoma wapi a level?
Haya ni mawazo yangu na si lazima yasikosolewe inapobidi
Hiyo ni typping error tu, tulisoma naye songea boys na alikuwa hp wetu, kwa kweli hicho ni kichwa bana sijui shauri ya samaki......