kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Jamaa mmoja mkaazi wa Lamu amempa mkewe talaka baada ya kukasirishwa na maneno yaliyokuwa yameandikwa katika kanga aliyovaa mkewe.
Jamaa alikuwa amesafiri kwa muda wa miezi 3, alishtuka aliporudi na kukuta mkewe amevaa kanga iliyoandikwa: "KULIKO KIOZE, HERI NIMPE JIRANI"
Jamaa alikuwa amesafiri kwa muda wa miezi 3, alishtuka aliporudi na kukuta mkewe amevaa kanga iliyoandikwa: "KULIKO KIOZE, HERI NIMPE JIRANI"