mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
huu nchezo hupo na pale polisi , magari yanayokamatwa na magendo, au kesi za wizi wanayaweka muda mreku alafu gari la milion 20 wanajiuzia laki nane bila kutangaza mnada
Hongera mkuu kwa kazi nzuri iliyookoa mali iliyonunuliwa kwa kodi wa walalahoi. wazalendo na wenye uchungu na nchi hii tufichue vitendo vyote viovu vinavyofanywa na mafisadi kuhujumu mali ya umma
yaweza kuwa kazi nzuri ya JF nadhani! Safari inaendelea
huu nchezo hupo na pale polisi , magari yanayokamatwa na magendo, au kesi za wizi wanayaweka muda mreku alafu gari la milion 20 wanajiuzia laki nane bila kutangaza mnada