Inaonekana mikoa hii inaongoza na wau wenye Phd feki!Hasa kabila la Kisukuma pamoja na uhonest wao,limetoa member wengi wenye Phd feki.What a shame,
kuharibia sifa ya kabila hili?.
1.Milton Mahanga Makongoro-Phd feki
2.Anton Diallo -Phd feki
3.George Nangale -Phd feki
4.Raphael Chegeni -Phd feki
5.John Didas Masaburi -Phd feki
Kulikoni jamani?
Sina uhakika kama ni feki kweli! ila naamini za akina Dr.Mahiga prof.Mahalu Dr.Hosea prof.Tibaijuka Dr.Matumaini Dr.Nsekela prof.Migiro Dr.Mwendamkono Dr.Ndalichako Dr.Masha etc ni original!
Sina uhakika kama ni feki kweli! ila naamini za akina Dr.Mahiga prof.Mahalu Dr.Hosea prof.Tibaijuka Dr.Matumaini Dr.Nsekela prof.Migiro Dr.Mwendamkono Dr.Ndalichako Dr.Masha etc ni original!
Salama tu mkuu, nilikwenda Tel Aviv kwa research moja hivi iliyonikeep busy kiaina.
Huyo Tumain nitapendekeza aweke matokeo ya kidato cha nne kwa miaka 10 iliyopita ya kinondoni muslim (na ndugu zake) kisha yalinganishwe na yale ya wana sunday school kisha ifanyike projection ya nani yuko likely kuwa na PhD fake....
hahahahahahaah..this is hilarious indeed!
Baadae mtasema mbona wenye PhD feki wengi wao ni Wa Kristo? waislam ni wachache wenye vyeti feki?..
Ukweli unabaki kuwa, wenye PhD na vyeti feki hapa Tanzania ni wengi, sema tu wengine bado hawajashtukiziwa. sidhani kama kuna correletion yoyote kati ya PhD feki na usukuma au ukiristo, I may be wrong!
Tumain said:Common denominator wote wametoka st. joseph university au ni wakristo wapende vya kunyonga na kupendelewaCommon denominator wote wametoka st. joseph university au ni wakristo wapende vya kunyonga na kupendelewa
6. Juma Ponda Mali (jpm)Inaonekana mikoa hii inaongoza na wau wenye Phd feki!Hasa kabila la Kisukuma pamoja na uhonest wao,limetoa member wengi wenye Phd feki.What a shame,
kuharibia sifa ya kabila hili?.
1.Milton Mahanga Makongoro-Phd feki
2.Anton Diallo -Phd feki
3.George Nangale -Phd feki
4.Raphael Chegeni -Phd feki
5.John Didas Masaburi -Phd feki
Kulikoni jamani?
Prof Mtabaji mwenyekiti wa TCU na Prof Mahalu mwenyekiti wa JK cardiac institute nao utasema wana Phd fake? In short watu wa kanda ya ziwa, Wasukuma, wakerewe, wazinza na wahaya ndio wenye akili nchi hii sema tu hawakujikita sana kwenye siasa na biashara badala yake walijikita kwenye shule. Angalia maprofesa wengi na experts wa vyuo vikuu ktk medicine na Engineering wanatokea wapi!Mzee wangu Jasusi naona umeweka kigingi kigumu; hata hivyo kila nikiangalia tena statistics, naona kama ni kweli kuwa kanda ya Ziwa iongoza kwa hizo Ph.D feki. Kumbuka kuwa mtoa mada hakuunganisha wengine kama Profesa Waryoba wa mzumbe na Dr. Deodatus Kamala.
Mimi ninadhani kuwa tatizo hilo la Ph.D feki lilianzishwa na huyo Profesa Waryoba hapo Mzumbe kwa vile ndiye aliyekuwa Mkuu wa Chuo. Baada ya hapo ndipo feki hizo zikasambaaa na kuingia umoja wa vijana kwa kupitia akina Nchimbi na Kamala. Huko Umoja wa Vijana zikawaambukiza akina Masabauri na Nangale. Masabauri yeye akamwambukiza kaka yake Mahanga, wakati Nangale naye akamwambukiza ndugu yake huyu Dialo. Kwa mtindo huo wa kuambukizana, inawezekana idadi ikazidi kuongezeka kwa kasi zaidi katika hiyo kanda ya Ziwa.
Hiyo post uliyokwoti ni ya miaka saba iliyopita wakati wewe umejiunga JF miaka miwili tu iliyopita. Kabla ya kuniuliza swali hilo, ni afadhali ungepitia tena kumbukumbu zinazopatikana ujue mazingira yaliyosababisha thread hiyo kuanzishwa. Ilikuwa inahusu watu wengi wenye Ph.D. feki, siyo wasomi wa nchi hii. Kama unavyotambua, Makongoro Mahanga ambaye naye aliongelewa katika thread hii amelipotiwa siku za hivi karibuni akiikimbia hiyo Ph.D feki yake.Prof Mtabaji mwenyekiti wa TCU na Prof Mahalu mwenyekiti wa JK cardiac institute nao utasema wana Phd fake? In short watu wa kanda ya ziwa, Wasukuma, wakerewe, wazinza na wahaya ndio wenye akili nchi hii sema tu hawakujikita sana kwenye siasa na biashara badala yake walijikita kwenye shule. Angalia maprofesa wengi na experts wa vyuo vikuu ktk medicine na Engineering wanatokea wapi!
Una uhakika hujamsaha mtu kweli? Uniwie Radhi mimi nadhani list yako in Mapungufu kadha wa kadha!Inaonekana mikoa hii inaongoza na wau wenye Phd feki!Hasa kabila la Kisukuma pamoja na uhonest wao,limetoa member wengi wenye Phd feki.What a shame,
kuharibia sifa ya kabila hili?.
1.Milton Mahanga Makongoro-Phd feki
2.Anton Diallo -Phd feki
3.George Nangale -Phd feki
4.Raphael Chegeni -Phd feki
5.John Didas Masaburi -Phd feki
Kulikoni jamani?
Kuna ile phd ya korosho sijui kama yenyewe sio fakeUna uhakika hujamsaha mtu kweli? Uniwie Radhi mimi nadhani list yako in Mapungufu kadha wa kadha!