~ Kamtumbwi alikokataa Kikwete ~

No, tunachohitaji sio another Nyerere, tunachohitaji ni dictatorship. And I mean it. Seriously. You know, couple of years ago, niliwahi kuona watu wanasukuma ndege ya jeshi (huko mkoa) ati iwake ili waendelee na safari. Think of it people: wanasukuma ndege ya jeshi ili iwake?

Seriously, tunahitaji dictator mmoja atucharaze bakora kwanza kisha ndo tupate akili.

I rest my case.

Asitucharaze bila kujua anataka twende wapi. Maana bakora bila direction zinauma zaidi.
 
Msimlaumu mkuu wa mkoa kwa sababu Jakaya mwenyewe alishasema philosophy yake ni kuwa hakuna mtu anayesomea UWAZIRI , UKUU WA MKOA,au UKUU WA WILAYA; hizi ni kazi anaamini wateule watajifunza on the job na matokeo yake ndio hayo!! Mama Mbega ni mbunge wa Iringa Mjini huo ukuu wa mkoa ni fadhila aliyopewa kwa kuwa mwana mtandao sio kwa uwezo, na ndio maana hata akivurunda hakuna kuwajibika. Mtindo huu wa utawala ni typical of leadership without a vision! Wanamtandao wengi wamevurunda lakini kinga yao ni ile contribution yao ya kumuwezesha " MKWERE" kuukwaa urais!! Kwi kwiiiiiiiiiii.
 
Back
Top Bottom