Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,599
Chungulia PM inbox yakoembu nipeni miye niitaje.
Chungulia PM inbox yakoembu nipeni miye niitaje.
Muulizeni Fina Mango
Chungulia PM inbox yako
Hakuna siri duniani.Muulizeni Fina Mango
Mzee Mwanakijiji ya kwenye PM unayoweza kuleta huku jamvini yanasemaje?Chungulia PM inbox yako
si imeshasemwa ni executive Solution au?Jamani kama hiyo kampuni ya PR inajulikana si itajwe tu! Lakini mimi nina hofu moja kuwa haiwezekani kampuni ipewe tenda ya kutoa rushwa. Kama hii itakuwa kweli basi ufisadi utakuwa umefikia kiwango kingine; kama signature yangu inavyosema; wakati wengine wanatumia ulazima kubuni vitu vya kusaidia maisha yao, sisi tunatumia ulazima kuvumbua namna na mbinu za kulifisadi taifa letu sana.
So, hiyo kampuni ni kampuni gani...?