Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Hata hapa alihutubia hardly dk kumi na tano tu. Kwani wananchi walikuwa wanatoka continously!! Akahofia angekuwa akiongea mwenyewe!!
Hii ya wananchi kuondoka mikutanoni hasa baada ya JK kupanda jukwaani si nzuri hata kidogo kwani inawapatia muda CCM kujipanga na kuweka mkakati mpya - kuiba kura etc.
Wananchi wangekuwa wanakaa na kumsikiliza tuuuu mpaka mwisho na siku ya uchaguzi, wanamtwanga chini kwa kishindo