​
Mgombea wa CHADEMA Bwana Joshua Nassari akihutubia mamia ya wananchi leo jioni maeneo ya Ngarenanyuki.Ameendelea na kampeni leo baada ya kusitisha jana kwa ajili ya kufiwa na baba mdogo wake
mh mi sifagilii maisha ya mtu najifagilia mwenyewe...!!!!!! Kampeni kwa baadhi ya sisi wasomaji hazitusaidii na wala hatuna time nazo, tunawafagilia mkipata hayo madaraka inakuwa ndo basi tena mtanikoma...fuc******!
Ni bora nijue zangu 50....!!
Kukusanya watu katika mikutano ya kampeni si deal. Sie twawasubiri tuwapige bao kwenye sanduku la KURA. Ukweli ni kwamba wafuasi wenu wengi wao hawatapiga kura kwa vile hawajajiandikisha
Kukusanya watu katika mikutano ya kampeni si deal. Sie twawasubiri tuwapige bao kwenye sanduku la KURA. Ukweli ni kwamba wafuasi wenu wengi wao hawatapiga kura kwa vile hawajajiandikisha
Hii ni TSUNAMI kwa kweli. Kwa hali hii CCM lazima wasombwe na Tsunami na kufia mbali kabisa.
mh mi sifagilii maisha ya mtu najifagilia mwenyewe...!!!!!! Kampeni kwa baadhi ya sisi wasomaji hazitusaidii na wala hatuna time nazo, tunawafagilia mkipata hayo madaraka inakuwa ndo basi tena mtanikoma...fuc******!
Ni bora nijue zangu 50....!!
]Picha zinaongea kwa sauti kubwa,[/COLOR] atakayejaribu kuchakachua matokeo tutamtenganisha mwili na roho yake kila kimoja kiishi kivyake kwa ukiwa.