Kampeni za CHADEMA katika picha: Malula na Usa River - Arumeru [March 24]

Si matani huko Arumeru Mashariki; Pipoz Pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!

Picture016.jpg
Utaipenda tu!naona mzee apo nyuma kaitikia chini Chini...
 
more than 75% ya waliohudhuria hapo hawana vitmbulisho vya kupigia kura.
 
Mujwahuzia:
NI kweli kujaza watu sio ushindi lakini WTZ walio wengi tumechoshwa na siasa Uchwala za chama chama mapinduzi CCMmwelekeo wetu ni kubadili uongozi wa nchi na kila jambo jema linakwenda kwa mpangilio katika hao waliokuwa kwenye mkutano kuna wale watakao badili mawazo yao kupitia mikutano hiyo,wengine watafunguka mioyo yao wale wenye mioyo migumu watabadilika kulingana na wakati uliopo.vilevile wanakijenga chama kupitia mikutano hiyo unafahamu urasimu uliopo kama unavyoona chombo cha wananchi ambacho wanakilipia kodi hakitangazi habari za chama kingine kisa kitapata Umaarufu,wengine wanasema mkichagua vyama vingine tofauti na chama tawala maeondeleo hayatakuja wanasahau miaka 50 iliyopita wameshindwa hata kujenga kisima cha maji matokeo wananchi wanagombea maji pamoja na vyura.iweje miaka miaka 3 ijayo uweze kutatua matatizo uliyoshindwa kuyatatua kipindi chote cha uatwalawa wao wengine hata Rais wao aliyepita hawakuwahi kumuona hadi alipokwenda kuwaongopea ya kwamba amjui matoto wa Nyerere hivyo hiyo ilikuwa hoja ya kuwaambia wana Arumeru??????????
 
Mujwahuzia:
NI kweli kujaza watu sio ushindi lakini WTZ walio wengi tumechoshwa na siasa Uchwala za chama chama mapinduzi CCMmwelekeo wetu ni kubadili uongozi wa nchi na kila jambo jema linakwenda kwa mpangilio katika hao waliokuwa kwenye mkutano kuna wale watakao badili mawazo yao kupitia mikutano hiyo,wengine watafunguka mioyo yao wale wenye mioyo migumu watabadilika kulingana na wakati uliopo.vilevile wanakijenga chama kupitia mikutano hiyo unafahamu urasimu uliopo kama unavyoona chombo cha wananchi ambacho wanakilipia kodi hakitangazi habari za chama kingine kisa kitapata Umaarufu,wengine wanasema mkichagua vyama vingine tofauti na chama tawala maeondeleo hayatakuja wanasahau miaka 50 iliyopita wameshindwa hata kujenga kisima cha maji matokeo wananchi wanagombea maji pamoja na vyura.iweje miaka miaka 3 ijayo uweze kutatua matatizo uliyoshindwa kuyatatua kipindi chote cha uatwalawa wao wengine hata Rais wao aliyepita hawakuwahi kumuona hadi alipokwenda kuwaongopea ya kwamba amjui matoto wa Nyerere hivyo hiyo ilikuwa hoja ya kuwaambia wana Arumeru??????????
 
WaTanzania tumeshaamua kwamba mambo yote ni kwa CHADEMA, je ni nani tena wa kutuzuia???????????

Wananchikishakupenda na kukuamini bana, wala huna hata haja ya kuwasomba mikoa yote kwa fuso na kuwaangushia pishi la pilau kwenye kampeni zako!!!!!!!!

CHADEMA kanyaga twenda kwa kasi zaidi kuhitimisha juhudi za ukombozi wa walalahoi kote nchini!



Picture017.jpg
 
Back
Top Bottom