Mbona under 18 wengii sana..
Msije kulia tarehe 1/4..matokeo ni 28% vs 72%ccm
Wanajamvi na wanachama wenzangu wa CHADEMA, kiukweli hapo kwenye UDIKTETA SIO WIZI ukweli haupindishi. Hali hiyo ndiyo iliyotumika kumpitisha Sioi kuwa mgombea kupitia CCM, ki ukweli hakupita na hakubaliki! Mkwele alitumia ubabe kumpitisha Sioi hali iliyosababisha kutokea kwa mpasuko ndani ya wanachama wa CCM, WOTE TUNAJUA! Sijui nini kitatokea baada ya udikteta kuchukua nafasi.Sidhani kama cdm km kinweza kulinda kura mkakati unaofanywa ni kutumia udikteta sio wizi tena. Nasisitiza UDIKTETA SIO WIZI TENA.
Wana CDM mlioko Arumeru,lindeni kura zenu,mkileta mzaha itakula kwenu,magamba sio mchezo!Katika mikutano Minne iliyofanywa na chama cha demokrasia na Maendeleo nimebahatika kufatilia mikutano miwili wa kwanza ulifanyika kwenye kijiji cha malula kata ya kingoli ulimalizika saa nane watu walikuwa wengi na wa mwisho ulikuwa usa uliofanyika kwenye uwanja wa liganga pale walipofungulia kampeni mahasimu wa cdm yaa CCM
Chini ni Baadhi ya picha za mkutano wa chadema kwenye kijiji cha Malula kata ya King'ori na chini ni kwenye mkutano wa mwisho leo tarehe 24.04.2012 kwenye uwanja Usa River
Chini: Kamanda Godbless Lema akichangisha baada ya kampeni kumalizika
mnapenda takwim?? Vìp ile taasisi ya red cat sijui rid and eat mnaijua wenyewe.vip mbona imetokomea, au inasubiri mpaka tarehe za karibu na kupiga kura
Hata viongozi kwenye jukwaa wanaonesha kukata tamaa!
Magwanda poleni sana.
Tunakumbuka Igunga yule mama aliyevaa mtandio tukaambiwa ni hijab! Kuna watu wanajua kuukejeli uislam hadi wanatia hasira, mtandio na hijab wapi na wapi?
under 18 ni makamanda wa kesho,idadi u na macho hesabu mwenyewe na pia hao nao ni wenzetu hatuna ubaguzi hata miaka 2 anaruhusiwa kuhudhuria.
Wivu wa nn!ganga yako na njaa zako
Hawa wote wamejiandikisha kupiga kura?
Au ni kufuata mkumbo?
Tangu lini picha ni ushindi; jiulizeni yafuatayo
a. under 18 walikuwa wangapi?
b. Wenye kadi za kupiga wangapi?
c. Wataenda kupiga kura? commitment
d. kwenye hiyo wangapi ni ccm wamekuja kusikiliza tu? wangapi wamekubaliana na sera zenu?
acheni matumaini mfu..matokeo ni 28% cdm na 72% ccm; anyway mmejitahidi kutangaza chama
Tangu lini picha ni ushindi; jiulizeni yafuatayo
a. under 18 walikuwa wangapi?
b. Wenye kadi za kupiga wangapi?
c. Wataenda kupiga kura? commitment
d. kwenye hiyo wangapi ni ccm wamekuja kusikiliza tu? wangapi wamekubaliana na sera zenu?
acheni matumaini mfu..matokeo ni 28% cdm na 72% ccm; anyway mmejitahidi kutangaza chama
Mbona under 18 wengii sana..
Msije kulia tarehe 1/4..matokeo ni 28% vs 72%ccm
I like the presence of under 18, sisi hatuangalii uchaguzi huu tu tunaangalia mbele. Hao watoto ni vizuri wakaanza kuzoea vuguvugu la mabadiliko kabla ili itakapofika siku ya siku CCM hawataweza kuwadanganya kwa urahisi. Na CCM kuto update daftari la wapiga kura ni sawa na kufunika moto kwa blanketi kwa sababu lazima tu watawaandikisha wapende wasipende.Na hao watoto wangekuwa wanapiga kura Chadema wangekuwa washashinda