Mr. Politician
Member
- May 16, 2008
- 74
- 7
Mimi nimeiona kwenye taarifa ya habari TBC1 jamaa alipozi kabisa ili apigwe picha
Alafu paja moja la kulia la mdada huyu linatafuta nini kwenye mapaja ya muungwana?
Mkuu Mwafrikakibs,
hao jamaa kwenye picha wamenunua hizo kofia na tisheti kwa pesa zao wenyewe?
Mkuu Mwafrika
Yap, kwa pesa zao wenyewe...CCM sio chama cha kilofa...
Kheeeee heeee heeee...Eeeh! Unaanza kuspin sio... kama kawaida yenu... Anyway hawa hapa chini niaje?kweli kabisa mkuu, ukichukulia mapesa yote ya EPA, Richmond, Buzwagi, Meremeta, Deep Green, etc
Kazi ipo mkuu wangu.....mimi nawavulia kofia kwa show game... watani wangu mko fit hapo.
Kheeeee heeee heeee...Eeeh! Unaanza kuspin sio... kama kawaida yenu... Anyway hawa hapa chini niaje?
Picha imegoma... Tatizo jamaa alikuwa anahubiri injili... labda hapo alikuwa akiwatoa pepo...hawa watanzania walivyoambiwa kuhusu wizi wa CCM walishika vichwa kwa huzuni:
Picha imegoma... Tatizo jamaa alikuwa anahubiri injili... labda hapo alikuwa akiwatoa pepo...
Dr Slaa anastahili pongezi. Ukiona hadi bingwa anakaa chini kutafuta huruma kwa kisingizio cha unyenyekevu ujue mambo si mambo, hii nirekodi. Mtu ambaye angeweza kukaa chini bila kuwa na ajenda ya siri nadhani ni Nyerere na Mwinyi tu. Msela jasho limemtoka hadi analazimika kukaa chini. Tatizo Kikwete si mzuri katika kujieleza ndo maana analazimika muda mwingi kufanya vituko.
Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problems,
But, if you think again, neither does milk."
Rev Masalino:
Kwa hiyo s hapo ndio tatizo? Lugha hizi mashaka matupu!
Ukiangalia huo mkono wa kulia wa huyo dada utaona kidole cha mwisho (pinky) kimetengana sana na vingine/kinavutwa, hii inaashiria movement away from the pinky kuelekea "ikulu". Na sijui kama kuna aliyeangalia vizuri macho ya huyo dada, anaonekana kufunga macho kwa hisia....labda ni kwa sababu ya mkono wa kulia wa JK.Ha ha h aha .. hata mkono wa kulia wa huyo dada umeuona?
Ukiangalia huo mkono wa kulia wa huyo dada utaona kidole cha mwisho (pinky) kimetengana sana na vingine/kinavutwa, hii inaashiria movement away from the pinky kuelekea "ikulu". Na sijui kama kuna aliyeangalia vizuri macho ya huyo dada, anaonekana kufunga macho kwa hisia....labda ni kwa sababu ya mkono wa kulia wa JK.