chriss brown
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 292
- 63
Mvulana kamtumia msichana friend request,wanajuana tangu zamani tu,kama wanafunzi waliosoma pamoja.chakushangaza kusuggestiwa awa add kama marafiki ndugu zake yule msichana wote..kuanzia mdogo mtu mpaka nduguze wengine.He is in dillema,hamwelewi huyu bidada..kampenda au anataka tu mkaka wa watu azidishe idadi ya marafiki,hajamsoma vizuri bado,