Kampala University ufisadi hauelezeki, tusubiri uchunguzi wa Kamati ya Bunge!

Oct 10, 2014
14
4
Sasa hali ni tofauti katika chuo kikuu cha kimataifa cha Kampala yabainika ujinga umefanywa na selikali kuu, ni baada ya bunge kuingilia kati, mengi yaibuka. Waziri wa elimu aropoka bungeni hoja yahamishiwa wizara ya afya mazito yaibuka bunge launda kamati na kuagiza kamati kuwasilisha taarifa na mapendekezo/muafaka ndani ya wiki moja yaani alhamisi ijayo...,kamati kuongozwa na waziri kivuli wa elimu mh SUZAN LIMO (mbunge chadema),Hoja za kuchunguzwa na kujilidhisha ni,

Uhalali wa wanafunzi wanaosoma kozi za afya chuoni hapo,kwan kuna aadhi ya wanafunzi hawana sifa ambao wameingia chuo bila kupitia TCU nawapo walioingia kupitia TCU lakini hawana sifa pia mfano medicine ni lazima mtu awe amesoma PCB lakini KAMPALA wapo hadi PCM.kwann?

Uwepo na uhalali wa kozi za pre-medical MPP kwa bachelor na BRIDGING COURSE kwa certficate na diploma,awali TCU waliikubali bila masharti wakati wanafunzi wanagomea MPP mwaka jana lakini mwaka huu wa M4C K.I.U TCU wameikubali kwa masharti eti iwepo ila isimuumize mwanafunzi na isiwe zaidi ya wiki 3 wala isilipiwe ada cha ajabu ni kwamba kozi hii inachukua semester nzima inalipiwa ada kama semester nyingine.TCU wanasema si sawa iwe hivi, lakini hawajachukua hatua yeyote juu ya kosa hili.kwann?

Uhalali wa nyaraka mbalimbali za serikali zinazosemekana kutolewa na vyombo mbalimbali vya serikali kama TCU na NACTE ili kuwatuliza wanafunzi.inasemekana barua mbalimbali kutoka taasisi hizi si halali sababu hazina mihuri rasmi toka ofisi za taasisi hizo kwa maana hiyo zinatengenezwa na watu,ni nani anayetumia nembo ya serikali kufanya udanganyifu na ni kwann na kwa maslahi ya nani?

Kwanini taasisi husika za elimu zimeruhusu idadi kubwa ya wanafunzi kuanza kusoma katika majengo ambayo bado hayajakamilika hivyo kuhatarisha usalama wa wanafunzi.

Inakuwaje chuo kinapewa provsional registration mpaka watu wanahitimu bado tu kiko katika provisional,hii provisional maana yake nn nan anatoa provisional,kwa muda gani na ni kwa vigezo vp kama chuo kimepewa provisional kwann kisipewe full registered.

Kwanini chuo kikuu wanafunzi wanagoma zaidi ya miezi miwili lakini hakuna chochote kinachofanyika wala chuo kufungwa,mbona vyuo vingine kama st joseph arusha na imtu ilikuwa rahisi sana kufanya maamuzi ya kufunga chuo.

Kwanini chuo hakina current prospectus(mitaala hai kwa kila mwaka wa masomo) ambayo ndio msingi wa chuo kujiendesha kinatumia mitaala gani?nani anaruhusu haya ikiwa ni kinyume na sheria na ni kwann?

Haya ni baadhi ya mambo ambayo kamati inabidi kujilidhisha na kuyapatia majibu baada ya wiki moja.

Ingawa jitihada za kupigania mabadiliko na ukombozi wa KIU zinafanywa na wachache huku kukiwa na mgawanyiko hii inatokana na vitisho vya chuo na kuwepo kwa watu ambao hawana vigezo vya kuwepo kampala na kusoma kozi hizo za sayansi.hivyo basi wanafunzi tulio na vigezo na sifa tunatakiwa kuwa na umoja na mshikamano wakati wa uchunguzi wa kamati hii ya bunge na kuipa ushirikiano kwasababu hii ndio hatua pekee yakuweza kujua hatima yetu baada ya hapa kitakachofuata ni maamuzi na msimamo wa serikali kupitia bunge hivyo tusigawanyike na kudanganywa,muda ndo huu!!!
 
De orbital nakukubali sana sio wanafunzi wengine wa kiu wachovu na waoga ndio hao nini hgk na arts wengine wanaogoma kutemwa chuo?sasa itafahamika tu komaeni wenye sifa ambao hawana sifa wakimbie mapema uwezi soma arts alafu upite sayansi kilaini,wafichuliwe tu hao,poa poa mkuu utatupa mrejesho iyo ijumaa sio upotee tena de orbital mkuu,pcm usome md Aaaaaaaah iyo kali watakua wamechaguliwa hapo hapo kiu tcu awawezi fanya ujinga huo ndio maana Kila mwaka wanatoa guider book,komaeni kiu kama st Joseph arusha kitaeleweka tu.
 
Sasa hali ni tofauti katika chuo kikuu cha kimataifa cha Kampala yabainika ujinga umefanywa na selikali kuu, ni baada ya bunge kuingilia kati, mengi yaibuka. Waziri wa elimu aropoka bungeni hoja yahamishiwa wizara ya afya mazito yaibuka bunge launda kamati na kuagiza kamati kuwasilisha taarifa na mapendekezo/muafaka ndani ya wiki moja yaani alhamisi ijayo...,kamati kuongozwa na waziri kivuli wa elimu mh SUZAN LIMO (mbunge chadema),Hoja za kuchunguzwa na kujilidhisha ni,

Uhalali wa wanafunzi wanaosoma kozi za afya chuoni hapo,kwan kuna aadhi ya wanafunzi hawana sifa ambao wameingia chuo bila kupitia TCU nawapo walioingia kupitia TCU lakini hawana sifa pia mfano medicine ni lazima mtu awe amesoma PCB lakini KAMPALA wapo hadi PCM.kwann?

Uwepo na uhalali wa kozi za pre-medical MPP kwa bachelor na BRIDGING COURSE kwa certficate na diploma,awali TCU waliikubali bila masharti wakati wanafunzi wanagomea MPP mwaka jana lakini mwaka huu wa M4C K.I.U TCU wameikubali kwa masharti eti iwepo ila isimuumize mwanafunzi na isiwe zaidi ya wiki 3 wala isilipiwe ada cha ajabu ni kwamba kozi hii inachukua semester nzima inalipiwa ada kama semester nyingine.TCU wanasema si sawa iwe hivi, lakini hawajachukua hatua yeyote juu ya kosa hili.kwann?

Uhalali wa nyaraka mbalimbali za serikali zinazosemekana kutolewa na vyombo mbalimbali vya serikali kama TCU na NACTE ili kuwatuliza wanafunzi.inasemekana barua mbalimbali kutoka taasisi hizi si halali sababu hazina mihuri rasmi toka ofisi za taasisi hizo kwa maana hiyo zinatengenezwa na watu,ni nani anayetumia nembo ya serikali kufanya udanganyifu na ni kwann na kwa maslahi ya nani?

Kwanini taasisi husika za elimu zimeruhusu idadi kubwa ya wanafunzi kuanza kusoma katika majengo ambayo bado hayajakamilika hivyo kuhatarisha usalama wa wanafunzi.

Inakuwaje chuo kinapewa provsional registration mpaka watu wanahitimu bado tu kiko katika provisional,hii provisional maana yake nn nan anatoa provisional,kwa muda gani na ni kwa vigezo vp kama chuo kimepewa provisional kwann kisipewe full registered.

Kwanini chuo kikuu wanafunzi wanagoma zaidi ya miezi miwili lakini hakuna chochote kinachofanyika wala chuo kufungwa,mbona vyuo vingine kama st joseph arusha na imtu ilikuwa rahisi sana kufanya maamuzi ya kufunga chuo.

Kwanini chuo hakina current prospectus(mitaala hai kwa kila mwaka wa masomo) ambayo ndio msingi wa chuo kujiendesha kinatumia mitaala gani?nani anaruhusu haya ikiwa ni kinyume na sheria na ni kwann?

Haya ni baadhi ya mambo ambayo kamati inabidi kujilidhisha na kuyapatia majibu baada ya wiki moja.

Ingawa jitihada za kupigania mabadiliko na ukombozi wa KIU zinafanywa na wachache huku kukiwa na mgawanyiko hii inatokana na vitisho vya chuo na kuwepo kwa watu ambao hawana vigezo vya kuwepo kampala na kusoma kozi hizo za sayansi.hivyo basi wanafunzi tulio na vigezo na sifa tunatakiwa kuwa na umoja na mshikamano wakati wa uchunguzi wa kamati hii ya bunge na kuipa ushirikiano kwasababu hii ndio hatua pekee yakuweza kujua hatima yetu baada ya hapa kitakachofuata ni maamuzi na msimamo wa serikali kupitia bunge hivyo tusigawanyike na kudanganywa,muda ndo huu!!!

Halafu makosa mengine ni ya kwetu wanafunzi,wew unajiona kabisa huna sifa za kusoma course za sayansi mfano umesoma arts kwani nin ujifichi kwenye hayo makando ,halafu unaanza kulalamika,. Kwanza hayo masoma 100% hutaweza kuyamuda ,zaidi ya yote utamaliza ukiwa huna chochote kile ,zaidi ya makaratasi tuu.
 
De orbital nakukubali sana sio wanafunzi wengine wa kiu wachovu na waoga ndio hao nini hgk na arts wengine wanaogoma kutemwa chuo?sasa itafahamika tu komaeni wenye sifa ambao hawana sifa wakimbie mapema uwezi soma arts alafu upite sayansi kilaini,wafichuliwe tu hao,poa poa mkuu utatupa mrejesho iyo ijumaa sio upotee tena de orbital mkuu,pcm usome md Aaaaaaaah iyo kali watakua wamechaguliwa hapo hapo kiu tcu awawezi fanya ujinga huo ndio maana Kila mwaka wanatoa guider book,komaeni kiu kama st Joseph arusha kitaeleweka tu.

Aisee wanafunzi wa kitanzania wanapende mteremko ,wew umesoma arts ,halafu unataka ukasomee MD/ Pharmacy,laboratory,Nursy,yaani haitaji akili KUBWA kujua utakuwa unapoteza mda wako tu ,halafa baada uanze kulalamika,umeonewa,maana amna baraza lolote la taaluma litakalokupokea/kutambua ,eg MAT,PHarmacy council ,Nursy councils, psxxxx
 
Nyiee mnaosomaa afya KIU sjuii chuo cha biashara hakuna elimuu alafuu mlikuwaa na division za ajabu ajabu msituongopee hapaa mlifelii na madivision three hahahhahaha nawashaurii mlitaka sifa kusoma medicine wakatii mnamarks ndogo na EED zenuizoo somenii sasaa chuo ganii cha afya magumashi hakina hospital kubwaa mnaulimbukenii na mabumu tuu hapoo hamna watuu wa afya ni mafailures na uongo uongo tuu marks zenuu ndogo mngeenda ualimu ovaaaa#
 
Kijana serotherapy punguza fujo kaka watakupiga vijana washavurugwa sio wote wanasoma medicine wengine kozi za lab na pharmacy na wote sio degree wengine cheti na diploma kama wewe,soma kijana upate gpa nzuri nawe usije angukia kampala kwa degree,mpe hi Dr mabula hapo juu yenu karibu na geti la nyuma uko,Dr bingwa wa moyo,soma wewe,usiwaponde wenzio.
 
Kampala wanafunzi wote wa hapo 97% wamefeli form six
Na wengine walitemwa na system ya TCU awamu ya kwanza na kuapply kwa pressure ya kukosa chuo wakakimbilia huko mgeenda diploma au cheti au mkawa walimu mnaanza kulaumu mliyoyataka wenyewe tulieni kama hamna vigezo ondokeni acheni lawama kwa failure zenu
Simgekuwa
Kcmc,muhas,udom
Hamkupaona hapo au uliomba ukakosa hatutaki madaktari vilaza
 
Nyiee mnaosomaa afya KIU sjuii chuo cha biashara hakuna elimuu alafuu mlikuwaa na division za ajabu ajabu msituongopee hapaa mlifelii na madivision three hahahhahaha nawashaurii mlitaka sifa kusoma medicine wakatii mnamarks ndogo na EED zenuizoo somenii sasaa chuo ganii cha afya magumashi hakina hospital kubwaa mnaulimbukenii na mabumu tuu hapoo hamna watuu wa afya ni mafailures na uongo uongo tuu marks zenuu ndogo mngeenda ualimu ovaaaa#
yaani jamaa huwa anaringa sana na kila mara lazima atukashifu ...na kuambia kijana malipo ni hapa hapa duniani yangu macho na majigambo yako
 
serotherapy hajitambui yeye anahisi tulijipeleka KIU au tcu ilichagua failure kwajili ya KIU 'pili kuna diploma na certficate unahisi wote hawana sifa,kwaufupi mawazo yako niya leo tuu!!
 
tikitaka men pamoja sana ahasante kwa kumjibu vizuri ajitaidi asome ili apate sifa zakusoma md'sikuponda wakati naye njia ndefu.
 
Sasa hali ni tofauti katika chuo kikuu cha kimataifa cha Kampala yabainika ujinga umefanywa na selikali kuu, ni baada ya bunge kuingilia kati, mengi yaibuka. Waziri wa elimu aropoka bungeni hoja yahamishiwa wizara ya afya mazito yaibuka bunge launda kamati na kuagiza kamati kuwasilisha taarifa na mapendekezo/muafaka ndani ya wiki moja yaani alhamisi ijayo...,kamati kuongozwa na waziri kivuli wa elimu mh SUZAN LIMO (mbunge chadema),Hoja za kuchunguzwa na kujilidhisha ni,

Uhalali wa wanafunzi wanaosoma kozi za afya chuoni hapo,kwan kuna aadhi ya wanafunzi hawana sifa ambao wameingia chuo bila kupitia TCU nawapo walioingia kupitia TCU lakini hawana sifa pia mfano medicine ni lazima mtu awe amesoma PCB lakini KAMPALA wapo hadi PCM.kwann?

Uwepo na uhalali wa kozi za pre-medical MPP kwa bachelor na BRIDGING COURSE kwa certficate na diploma,awali TCU waliikubali bila masharti wakati wanafunzi wanagomea MPP mwaka jana lakini mwaka huu wa M4C K.I.U TCU wameikubali kwa masharti eti iwepo ila isimuumize mwanafunzi na isiwe zaidi ya wiki 3 wala isilipiwe ada cha ajabu ni kwamba kozi hii inachukua semester nzima inalipiwa ada kama semester nyingine.TCU wanasema si sawa iwe hivi, lakini hawajachukua hatua yeyote juu ya kosa hili.kwann?

Uhalali wa nyaraka mbalimbali za serikali zinazosemekana kutolewa na vyombo mbalimbali vya serikali kama TCU na NACTE ili kuwatuliza wanafunzi.inasemekana barua mbalimbali kutoka taasisi hizi si halali sababu hazina mihuri rasmi toka ofisi za taasisi hizo kwa maana hiyo zinatengenezwa na watu,ni nani anayetumia nembo ya serikali kufanya udanganyifu na ni kwann na kwa maslahi ya nani?

Kwanini taasisi husika za elimu zimeruhusu idadi kubwa ya wanafunzi kuanza kusoma katika majengo ambayo bado hayajakamilika hivyo kuhatarisha usalama wa wanafunzi.

Inakuwaje chuo kinapewa provsional registration mpaka watu wanahitimu bado tu kiko katika provisional,hii provisional maana yake nn nan anatoa provisional,kwa muda gani na ni kwa vigezo vp kama chuo kimepewa provisional kwann kisipewe full registered.

Kwanini chuo kikuu wanafunzi wanagoma zaidi ya miezi miwili lakini hakuna chochote kinachofanyika wala chuo kufungwa,mbona vyuo vingine kama st joseph arusha na imtu ilikuwa rahisi sana kufanya maamuzi ya kufunga chuo.

Kwanini chuo hakina current prospectus(mitaala hai kwa kila mwaka wa masomo) ambayo ndio msingi wa chuo kujiendesha kinatumia mitaala gani?nani anaruhusu haya ikiwa ni kinyume na sheria na ni kwann?

Haya ni baadhi ya mambo ambayo kamati inabidi kujilidhisha na kuyapatia majibu baada ya wiki moja.

Ingawa jitihada za kupigania mabadiliko na ukombozi wa KIU zinafanywa na wachache huku kukiwa na mgawanyiko hii inatokana na vitisho vya chuo na kuwepo kwa watu ambao hawana vigezo vya kuwepo kampala na kusoma kozi hizo za sayansi.hivyo basi wanafunzi tulio na vigezo na sifa tunatakiwa kuwa na umoja na mshikamano wakati wa uchunguzi wa kamati hii ya bunge na kuipa ushirikiano kwasababu hii ndio hatua pekee yakuweza kujua hatima yetu baada ya hapa kitakachofuata ni maamuzi na msimamo wa serikali kupitia bunge hivyo tusigawanyike na kudanganywa,muda ndo huu!!!

Only in tanzania huyapati sehemu nyingine ya dunia hiii
 
serotherapy hajitambui yeye anahisi tulijipeleka KIU au tcu ilichagua failure kwajili ya KIU 'pili kuna diploma na certficate unahisi wote hawana sifa,kwaufupi mawazo yako niya leo tuu!!

huyo jamaa mwenyewe kumbe ni diploma, idiot
 
Nyiee mnaosomaa afya KIU sjuii chuo cha biashara hakuna elimuu alafuu mlikuwaa na division za ajabu ajabu msituongopee hapaa mlifelii na madivision three hahahhahaha nawashaurii mlitaka sifa kusoma medicine wakatii mnamarks ndogo na EED zenuizoo somenii sasaa chuo ganii cha afya magumashi hakina hospital kubwaa mnaulimbukenii na mabumu tuu hapoo hamna watuu wa afya ni mafailures na uongo uongo tuu marks zenuu ndogo mngeenda ualimu ovaaaa#
Nina kufahamvizuri wewe hapo MUHAS sina unasoma diploma
 
Unajua ili upete dunia hii Kuna wengine lazima wateseke kwanza ndio maana nikamwambia kijana uyo kwamba hapo wanamtetea ata yeye sababu Ikitokea kamaliza diplo yake anaweza kuja soma hapo kiu but awe amepata iyo GPA yakujiunga elimu ya juu ndio maana tunamwambia asome na awaombee wenziwe kiu faida atakuja kuiona baadae na kujua umuhimu wenu vijana,komaeni mpaka kieweleke vijana,uyo serotherapy yupo mbeya sio muhas comment zake zinaonyesha yupo mbeya diploma.
 
Back
Top Bottom