mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,950
- 131,282
Wasalaam,
Ni hivi kuna binti jirani alipata mchumba wa dini tofauti, na kijana alimpenda binti, kijana alibadili dini na ndoa ikafungwa.
Kumbe binti alikuwa na danga lake jibaba, danga likaenda nyumbani kwa wazazi wa binti na kuwaambia kuwa anamtaka mke wake na yupo tayari kurudisha gharama za harusi. Danga likaonyesha chatting za yeye na binti, binti anasema kuwa anampenda jibaba na kuhusu kuolewa alilazimishwa na mama take.
Kijana aliyemuoa binti hadi sasa yupo hospitali, inasemekana kachomwa sindano ya sumu na wasiojulikana, na binti kamtorka kijana.
Inauma kwasababu kijana kabadili hadi dini kumfuata mwanamke na kuambulia maumivu. Mtu ukijiona haupo tayari kuolewa ni bora ukakataa kuolewa.
Tukio limetokea,wilaya ya Mbinga,na harusi imefungwa tarehe 13/7/2023
Ni hivi kuna binti jirani alipata mchumba wa dini tofauti, na kijana alimpenda binti, kijana alibadili dini na ndoa ikafungwa.
Kumbe binti alikuwa na danga lake jibaba, danga likaenda nyumbani kwa wazazi wa binti na kuwaambia kuwa anamtaka mke wake na yupo tayari kurudisha gharama za harusi. Danga likaonyesha chatting za yeye na binti, binti anasema kuwa anampenda jibaba na kuhusu kuolewa alilazimishwa na mama take.
Kijana aliyemuoa binti hadi sasa yupo hospitali, inasemekana kachomwa sindano ya sumu na wasiojulikana, na binti kamtorka kijana.
Inauma kwasababu kijana kabadili hadi dini kumfuata mwanamke na kuambulia maumivu. Mtu ukijiona haupo tayari kuolewa ni bora ukakataa kuolewa.
Tukio limetokea,wilaya ya Mbinga,na harusi imefungwa tarehe 13/7/2023