MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 350
Habar zenyu wanathnker. Ma2main yangu wate wazma na 2po kwenye mchakato ya maandaliz ya pasaka mungu awatakulie wote na 2sherekee kesho salama. 2kiacha hlo nimekutana maongez kwenye upata maj ya dubai jion ya jana walikuwepo jamaa watatu wanakula nao dubai meza yangu ya pemben na ndo wakawa wanaongea kuhusu jamaa wao mmoja aliye kutana na msichana wiki iliyopita na amemuoa hv sasa kamuweka ndan ndo wao wanasema itakuwa amepewa limbwata mana wanadai wamemshaur lakn jamaa hakusikia je wana JF THINKER hii inawezekana kuowa