Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Nakujua??
utamjuaje shemeji yako Lizzy mbona una maswali ya aina hii siku hizi?:nerd:
Nakujua??
watu watakulaje mji? au dubai ni chakula?
mi sioni shida wao kuoana hata kama wangefanya hivyo masaa baada ya kukutana.....waende tu ANGAZA then waoane....maisha hayana formula....wangapi wamekaa seven years or more na hawakuoana wala hata kujuana inavyotakiwa.....waachwe na maisha yao...:director:
Yaani Lizzy leo sijui hajalala usiku kucha lolutamjuaje shemeji yako Lizzy mbona una maswali ya aina hii siku hizi?:nerd:
Nakujua wewe?Huku skype
Kitanzania ndo inakuaje kwani?Kuna sheria??Sema wewe huwezi ila si Kitanzania haiwezekani.okay ckatai ila kitanzania kwel umjue m2 wik na akuoe au uolewe kwel inawezekana hyo au ndo ilakuwa kama wanavyofanya wasanii we2 wa muzik na filamu mana hawa huyu kamchukuwa huyu na huyu kamchukuwa yule mwsho wa cku wanatangaza ndoa hewa kaz kwel kwel ila cjui yan wiki umeoa au kuolewa duh?
utamjuaje shemeji yako Lizzy mbona una maswali ya aina hii siku hizi?:nerd:
upo wange kwanza kabisa kula dubai ni kula bia alafu kingne cjakataa ila ninaweza kusema ndo mnanifungua macho mana nimezoea kuona m2 anakaa na mpenz wake miez sita au mwaka ndo wanatangaza ndoa co kama hvyo wiki na kuoa hv jaman 2kirud kimaadil inawezekana kwel m2 akafanya hvyo mana ninahs utaonekana mwehu wiki au masaa uoe au uolewe du?
Lizzy mbona umeanza kuharibikiwaNakujua wewe?
Wewe hauoni MUREFU tayari anafanya mambo usinifanyie hivyo bwana utanifanya nikajinyonge bure mie halafu unikoseha ha haaaaaaaaaaaa uwiiiiiii mbavu zangu mie Finest!!!
Ahh kuna mtu kanifanya niwe mchachu kuliko limao!Lizzy mbona umeanza kuharibikiwa
Umekuwa mchachu tena kama lile limao ambalo halina majiAhh kuna mtu kanifanya niwe mchachu kuliko limao!
Kitanzania ndo inakuaje kwani?Kuna sheria??Sema wewe huwezi ila si Kitanzania haiwezekani.
Orait orait.,let me make it up to you!Mkeo akiridhia n akupigia baadae!Umekuwa mchachu tena kama lile limao ambalo halina maji
Ahaaaa ahaaaa ahaaa haya sawa bwana, tena on top of it i need a chocolate cakeOrait orait.,let me make it up to you!Mkeo akiridhia n akupigia baadae!
eti duh? Kafanya nini ukiendelea utanipa topic nii weke kwenye thread hii