RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,984
- 108,752
Wapi? Mbinguni au?Subirini uteuzi wa Shubash Patel unakuja!!
Wapi? Mbinguni au?Subirini uteuzi wa Shubash Patel unakuja!!
Kwanza teuzi za kiwaki zilianza na Katibu Mkuu Kiongozi maana baada ya kuapishwa Mama kwenye speech yake akasema kuwa alikuwa hamfahamu,sasa mpaka hapo hatushituki tu kuwa hii nchi inaongozwa na Ntu wa nje ya Ikulu.Inawezekanaje Rais asimjue Mkuu wake wa Utumishi serikalini?
Subirini uteuzi wa Shubash Patel unakuja!!
Eh subhash yupi tenaKwanza teuzi za kiwaki zilianza na Katibu Mkuu Kiongozi maana baada ya kuapishwa Mama kwenye speech yake akasema kuwa alikuwa hamfahamu,sasa mpaka hapo hatushituki tu kuwa hii nchi inaongozwa na Ntu wa nje ya Ikulu.Inawezekanaje Rais asimjue Mkuu wake wa Utumishi serikalini?
Subirini uteuzi wa Shubash Patel unakuja!!
... huwa inakuwaje kiongozi mmoja anamwona mtendaji fulani hafai soon thereafter kiongozi mwingine anamwona anafaa? Huwa sielewi! It seems hizi mamlaka za uteuzi ziko more subjective badala ya objectivity! Kuna shida kubwa kwenye hili eneo.
...adui wa adui yangu ndiye rafiki yangu!... huwa inakuwaje kiongozi mmoja anamwona mtendaji fulani hafai soon thereafter kiongozi mwingine anamwona anafaa? Huwa sielewi! It seems hizi mamlaka za uteuzi ziko more subjective badala ya objectivity! Kuna shida kubwa kwenye hili eneo.
... that's very bad! Taifa litajengwaje hivyo?...adui wa adui yangu ndiye rafiki yangu!
Kwanza jiulize huyo Magufuli alimtoa Rished Bade kwa kosa gani? Naunga mkono kuwarudisha watu wote walioonewa na kichaa wa Chato bila sababu... huwa inakuwaje kiongozi mmoja anamwona mtendaji fulani hafai soon thereafter kiongozi mwingine anamwona anafaa? Huwa sielewi! It seems hizi mamlaka za uteuzi ziko more subjective badala ya objectivity! Kuna shida kubwa kwenye hili eneo.
... na hoja yangu ndio iko hapo.Kwanza jiulize huyo Magufuli alimtoa Rished Bade kwa kosa gani? Naunga mkono kuwarudisha watu wote walioonewa na kichaa wa Chato bila sababu
Kuanzia darasani hadi utendaji kazini kwa waajiriwaAkili nyingi zinapimwaje?
Wewe endelea kubeba begi la Kihongosi tu hapo UVCCM
Kwa hiyo aliemtumbua alikuwa hana akili?au ameipata baada ya kufukuzwa kazi?Kuhusu Bade nilileta uzi humu kuwa ateuliwe sababu ana uwezo mkubwa sana na akili nyingi ukafutwa .Sikujua kwa nini.
Anyway Rished Bade ni katika watu wenye akili nyingi mno nchi hii.
Nampongeza kwa uteuzi wake.
Chai chaiBade kuna jamaa yake mmoja anaishi Milton Keynes anasimulia.
Enzi zake yupo TRA huyo kijana alienda kumsabahi nyumbani kwake akaulizwa anaishu gani. Jamaa akamwambia bado anajitafuta, akaambiwa asubiri. Bade kaenda chumbani kurudi kamkabidhi $50,000 cash bure anamwambia tafuta cha kufanya basi.
Hawa ndio aina ya watu Samia anaowarudisha serikalini. Huyu mama anaiharibu hiyo nchi, kwa sasa ni mateka wa wahuni waliokuwa awamu ya J.K.
Wewe tunakujua, kichaa wa chato alikubutua kwa nyuma ndio sababu ya makasiriko yote haya!Kwanza jiulize huyo Magufuli alimtoa Rished Bade kwa kosa gani? Naunga mkono kuwarudisha watu wote walioonewa na kichaa wa Chato bila sababu
Uliza watoto wa mjini wanaoishi ‘Milton Keynes’ na jina la jamaa ningeweza kulitaja sema taratibu za JF aziruhusu.Chai chai
Ndiyo,kama wewe unavyofurahi ukipigwa mitiHiyo ndiyo furaha ya chadema
Aliwaonea tu kuwatumbua kwa chuki zake. Ila Mungu wetu ndiyo anajuwa kutumbua halali. Rot in hell MagufuliUliza watoto wa mjini wanaoishi ‘Milton Keynes’ na jina la jamaa ningeweza kulitaja sema taratibu za JF aziruhusu.
We unadhani kwanini alikuwa mtu wa mwanzo kutumbuliwa, tatizo hawa watu awakuchukuliwa hatua za kisheria tu.
Porojo hizoBade kuna jamaa yake mmoja anaishi Milton Keynes anasimulia.
Enzi zake yupo TRA huyo kijana alienda kumsabahi nyumbani kwake akaulizwa anaishu gani. Jamaa akamwambia bado anajitafuta, akaambiwa asubiri. Bade kaenda chumbani kurudi kamkabidhi $50,000 cash bure anamwambia tafuta cha kufanya basi.
Hawa ndio aina ya watu Samia anaowarudisha serikalini. Huyu mama anaiharibu hiyo nchi, kwa sasa ni mateka wa wahuni waliokuwa awamu ya J.K.
Kwani safu ya mafisadi kurudishwa serikalini haijatimia tu?Taarifa ya Gazeti la Mwananchi inaeleza kwamba Kamishna wa Zamani wa TRA, Rished Bade ameteuliwa kuwa Kamishna wa kitengo cha fedha za nje Wizara ya fedha.
Bade anatajwa kuwa miongoni mwa maofisa wa mwanzo kabisa kutumbuliwa na Dr. Magufuli mara tu baada ya kuapishwa kuwa Rais 2015. Inadaiwa amedumu nje ya ulingo kwa miezi 79.
Tunamtakia kila la heri kwenye majukumu yake mapya.