Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,272
- 222,318
- Thread starter
- #201
namaanisha hii nafasi mpya aliyopewa sasaHuyu alikuwa Tiiaraei kama sikosei wakati anatumbuliwa
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
namaanisha hii nafasi mpya aliyopewa sasaHuyu alikuwa Tiiaraei kama sikosei wakati anatumbuliwa
Upo sahihi kwa upande wako, lakini kila mmoja anamtazamo wake, hasa lunapokuja swala la uteuzi,... huwa inakuwaje kiongozi mmoja anamwona mtendaji fulani hafai soon thereafter kiongozi mwingine anamwona anafaa? Huwa sielewi! It seems hizi mamlaka za uteuzi ziko more subjective badala ya objectivity! Kuna shida kubwa kwenye hili eneo.
Kwahiyo mtu akipewa hela unaumia sana..?, Ungekua ni wewe umepewa ungekuja hapa kutusimualia hekaya zako hizo.Bade kuna jamaa yake mmoja anaishi Milton Keynes anasimulia.
Enzi zake yupo TRA huyo kijana alienda kumsabahi nyumbani kwake akaulizwa anaishu gani. Jamaa akamwambia bado anajitafuta, akaambiwa asubiri. Bade kaenda chumbani kurudi kamkabidhi $50,000 cash bure anamwambia tafuta cha kufanya basi.
Hawa ndio aina ya watu Samia anaowarudisha serikalini. Huyu mama anaiharibu hiyo nchi, kwa sasa ni mateka wa wahuni waliokuwa awamu ya J.K.
Kwa Sasa ni mkuu wa Idara,Fedha za nje wizara ya fedha
Mkuu wengine huondolewa wanapozingua maslahi ya mkuu... huwa inakuwaje kiongozi mmoja anamwona mtendaji fulani hafai soon thereafter kiongozi mwingine anamwona anafaa? Huwa sielewi! It seems hizi mamlaka za uteuzi ziko more subjective badala ya objectivity! Kuna shida kubwa kwenye hili eneo.
... that's subjectivity! Taifa haliwezi kupiga hatua.Mkuu wengine huondolewa wanapozingua maslahi ya mkuu
... mfano uliotoa ndio hasa tunaita "vivid example"; mfano usio na mashaka.Upo sahihi kwa upande wako, lakini kila mmoja anamtazamo wake, hasa lunapokuja swala la uteuzi,
Kwa mfano, prof Assad ni mtaalamu haswa wa maswala ya fedha na uchumi lakini late MAGUFULI alimuona hafai, ndo nikaamini kila mtu anafaa ni mitazamo ya mtu binafsi
Hii ndio nafasi Aliyoishika Lwajabe ?Kwa Sasa ni mkuu wa Idara,Fedha za nje wizara ya fedha
Duh oii hii si hatar sanaBade kuna jamaa yake mmoja anaishi Milton Keynes anasimulia.
Enzi zake yupo TRA huyo kijana alienda kumsabahi nyumbani kwake akaulizwa anaishu gani. Jamaa akamwambia bado anajitafuta, akaambiwa asubiri. Bade kaenda chumbani kurudi kamkabidhi $50,000 cash bure anamwambia tafuta cha kufanya basi.
Hawa ndio aina ya watu Samia anaowarudisha serikalini. Huyu mama anaiharibu hiyo nchi, kwa sasa ni mateka wa wahuni waliokuwa awamu ya J.K.
Bila shaka
somo kubwaKuanzia darasani hadi utendaji kazini kwa waajiriwa
Kwa wasioajiriwa akili zinapimwa kwa matokeo yao mitaani mfano msukuma darasa la saba ana akili ndio maana yuko bungeni anamiliki zaidi ya mabasi 100 na biashara kibao na ana helikopta ya kwake ya kutembelea
Bakheresa ana akili alimaliza darasa la pili tu na ni Bilionea
Akili ni kitu kinachoonekana kwa matokeo popote mtu awapo.Akiwa darasani akili zake hujulikana kwa Marks apatatazo darasani ,akiwa kazini performance huamua,akiwa shambani utaona matokeo akiwa kwenye business utaona,akiwa kwenye moira utaona.Mayele ana akili nk
Akiwa kwenye community utaona mfano Mtume Bulldozer Mwamposya ana akili kwenye mambo ya dini ndio maana ana umati
Chai chai... Hebu tupumzishe.Uliza watoto wa mjini wanaoishi ‘Milton Keynes’ na jina la jamaa ningeweza kulitaja sema taratibu za JF aziruhusu.
We unadhani kwanini alikuwa mtu wa mwanzo kutumbuliwa, tatizo hawa watu awakuchukuliwa hatua za kisheria tu.