Kamishna wa zamani wa TRA, Rishade Bade arejea Wizara ya Fedha

... huwa inakuwaje kiongozi mmoja anamwona mtendaji fulani hafai soon thereafter kiongozi mwingine anamwona anafaa? Huwa sielewi! It seems hizi mamlaka za uteuzi ziko more subjective badala ya objectivity! Kuna shida kubwa kwenye hili eneo.

..lakini hata Magufuli alikuwa anatumbua watu na baadae anawarudisha.

..kwa mfano, alimtumbua Kichere toka Tra, akampa u-ras, baadae akamu-elevate kuwa Cag.

..mwingine aliyetumbuliwa ni yule kamanda wa jeshi la zimamoto, lakini baadae akapandishwa na cheo kuwa mkuu wa mkoa.

..what if Bade angerejeshwa na Magufuli, je watu wangehoji kama wanavyofanya sasa hivi?

..tatizo ni kwamba utaratibu wa kuteua na kutengua hauko wazi na uko chini ya mamlaka ya mtu mmoja tu.
 
..lakini hata Magufuli alikuwa anatumbua watu na baadae anawarudisha.

..kwa mfano, alimtumbua Kichere toka Tra, akampa u-ras, baadae akamu-elevate kuwa Cag.

..mwingine aliyetumbuliwa ni yule kamanda wa jeshi la zimamoto, lakini baadae akapandishwa na cheo kuwa mkuu wa mkoa.

..what if Bade angerejeshwa na Magufuli, je watu wangehoji kama wanavyofanya sasa hivi?

..tatizo ni kwamba utaratibu wa kuteua na kutengua hauko wazi na uko chini ya mamlaka ya mtu mmoja tu.
Ndio maana Katiba mpya ni muhimu !!
 
Mtu ameacha watu wanamalimbikizo ya kodi kwa miaka, biashara azifuati sheria za kutunza vitabu kwa muda unaotakiwa, wafanyabiashara awaelewi uwezi kuweka hela binafsi katika account ya biashara, wafanyabiashara na wanasiasa awana ufahamu wa sheria wala taratibu za kudai kodi za nyuma au tax investigation inavyofanyika.

Hiyo elimu ya jamii ni kazi ya TRA, hakuna walichofanya.

Imeingia administration nyingine kudai kodi kwa kufuata sheria nchi nzima inashtuka wafanya biashara wanaonewa, yote hayo kwa sababu ya administration ya zamani na uongozi wa TRA iliyokuwepo.

Mpaka leo serikali aiimizi wafanya biashara kutumia qualified accountants kuwafanyia hesabu ukinitumia mtu kama mimi nikufanyie hesabu zako tutalipa VAT hiyo akipweki kama una akili. zako timamu. Lakink kwenye income/business tax kila siku tuna loss nahakikisha kila capital allowance and allowable expenses tunaweka hakuna faida mwisho wa mwaka.

Ni hivi taxation bado sana Tanzania ni jukumu la TRA kutoa elimu na vyuo kuwaandaa wahasibu.

Mtu kama Bade aina ya uongozi wake; baada ya kuingia Magufuli kilichotokea unaona kiasi gani elimu ya kodi ilivyokuwa ndogo kwa wafanyabiashara sasa huyo alikuwa na faida.

"wafanyabiashara awaelewi uwezi kuweka hela binafsi katika account ya biashara".

Nisaidie mkuu hiki kifungu naweza kukipata wapi labda kwny Act/Regulations/Practice Notes/Case laws ipi ili niweze kukipitia mkuu.Ni muhimu Sana.
 
..lakini hata Magufuli alikuwa anatumbua watu na baadae anawarudisha.

..kwa mfano, alimtumbua Kichere toka Tra, akampa u-ras, baadae akamu-elevate kuwa Cag.

..mwingine aliyetumbuliwa ni yule kamanda wa jeshi la zimamoto, lakini baadae akapandishwa na cheo kuwa mkuu wa mkoa.

..what if Bade angerejeshwa na Magufuli, je watu wangehoji kama wanavyofanya sasa hivi?

..tatizo ni kwamba utaratibu wa kuteua na kutengua hauko wazi na uko chini ya mamlaka ya mtu mmoja tu.
... ndio maana wadau wanapendekeza hizi nafasi watu wawe wanaomba na kufanyiwa interviews openly. Hii itaondoa biasness and will be based on facts kuliko hisia za mteuzi au kuchomekachomeka watu "wao". Otherwise, hii nchi itaendelea kuwa ya majaribio kwa miaka mingi ijayo.
 
Taarifa ya Gazeti la Mwananchi inaeleza kwamba Kamishna wa Zamani wa TRA, Rished Bade ameteuliwa kuwa Kamishna wa kitengo cha fedha za nje Wizara ya fedha.

Bade anatajwa kuwa miongoni mwa maofisa wa mwanzo kabisa kutumbuliwa na Dr. Magufuli mara tu baada ya kuapishwa kuwa Rais 2015. Inadaiwa amedumu nje ya ulingo kwa miezi 79.

Tunamtakia kila la heri kwenye majukumu yake mapya.
Amerudishwa aanzie pale alipoishia kuitafuna nchi
 
Like I said siwezi mtaja muhusika yeye alikuwa anaropoka tu kwa washkaji zake akujuwa kama yatafika J.F na wala sina sababu ya kumfanya atafutwe na TAKUKURU siku akija holiday zake kutoa maelezo.

Vinginevyo ilo swala watu kadhaa wanalifahamu, matumizi ya hizo hela wameshuhudia na muhisika mwenyewe anajulikana

As for me this case is closed sikulazimishi uamini. Tuliache kama unsubstantiated allegations.
Acheni wivu wa kimasikin bana. Kwani hata ni kweli we Bade unamjua kias gani. Au umekuja kumjulia akiwa mkuu wa TRA. Yaan mtu kumpa ndugu yake ml 130. Kama mtaji ndio awe amekosa sifa? Bro wabongo tuache fikra potofu bana. Acheni chuki dhaifu. Unapoleta tuhuma basi ziwe na maelezo ya kutushawish sio kulaum. Mi kwa mtizamo wangu. BADE alikuwa mahali sahihi pale TRA sema Mh kwasababu zake alitaka kufagia masalia ya kikwete kama mama anavyowafagia mmoja mmoja masalia ya Magu.
 
Acheni wivu wa kimasikin bana. Kwani hata ni kweli we Bade unamjua kias gani. Au umekuja kumjulia akiwa mkuu wa TRA. Yaan mtu kumpa ndugu yake ml 130. Kama mtaji ndio awe amekosa sifa? Bro wabongo tuache fikra potofu bana. Acheni chuki dhaifu. Unapoleta tuhuma basi ziwe na maelezo ya kutushawish sio kulaum. Mi kwa mtizamo wangu. BADE alikuwa mahali sahihi pale TRA sema Mh kwasababu zake alitaka kufagia masalia ya kikwete kama mama anavyowafagia mmoja mmoja masalia ya Magu.
Actually kasoma na kaka yangu darasa moja sina uhakika kama ni Nyakahoja, Azania au Umbwe (sina huo muda wa kumuuliza huyo fisadi anaweza kuwa special human being kwako ila sio kila mtu humu JF) na walikuwa washikaji wa karibu sana enzi zao.
 
Kusoma na mtu sio tiketi ya kumjua chief. Mi pia cwez kukuambia alikuwa fisadi au la nilichokuwa nataka kujua kutoka kwako ni uhakika wa ufisadi wake. Unakuja kutuletea maneno ya kwenye kanga hapa halafu unatulazimish tuwe na mawazo yako. Jitahd kupunguza chuki utaepuka magonjwa mengi mkuu.
 
Heading yake Inasemaje niitafute?🙏🙏
Unapofanya bank reconciliation itakuletea shida kwenye auditing (utaambiwa utolee maelezo) na kwenye audit report atashindwa verify sums zilizopo kama hela zote ni za biashara.

Hiyo inaweza kukuletea shida ukienda kuomba mkopo bank wakikwambia upeleke auditing report kama awezi thibitisha hela zote ni za biashara.

Kuna swala la tax investigation processes ambao wanaweza freeze account ya biashara kama kuna hela binafsi zinaweza potea.

Sababu ni luluki za accounting procedures.

Kwa sasa jioni njema kuna mod naona anawashwa tayari sina muda wa kumpa kiki.

👋
 
Unapofanya bank reconciliation itakuletea shida kwenye auditing (ww utolee maelezo) na kwenye audit report atashindwa verify sums zilizopo kama na hela za biashara.

Hiyo inaweza kukuletea shida ukienda kuomba mkopo bank wakikwambia upeleke auditing report kama awezi thibitisha hela zote ni za biashara.

Kuna swala la tax investigation processes ambao wanaweza freeze account ya biashara kama kuna hela binafsi zinaweza potea.

Sababu ni luluki za accounting procedures.

Kwa sasa jioni njema kuna mod naona anawashwa tayari sina muda wa kumpa kiki.

👋
🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom