kama kuna kitu hatari basi ndio hikikimsingi hakupaswa kutoa kauli hiyo kwani huu ni ukiukwaji wa good governance. Kwa kauli hii ni mauti kwa polisi hususani kwa kipindi hiki ambapo hakuna mahusiano mazuri kati ya wachimbaji wadogo na polisi huko mgodini. Alipasa kuagiza wao kuwakamata na kuripotia polisi na si kupiga hatimaye kifo.