Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Kamishna wa operesheni za jeshi la Polisi nchini, Paul Chagonja amewaruhusu wananchi wanaoishi maeneo yanayozunguka Mgodi wa North Mara, kuwapiga KAMA WEZI, askari wakorofi wanaowavamia na kuwanyanyasa kinyume na taratibu za jeshi hilo. Ruhusa hiyo ilikuja kufuatia tukio la jumanne wiki hii, la askari walioendesha operesheni ya kukamata watu kwa kulipua mabomu ya machozi, kwa maelezo kuwa walikuwa wanadhibiti waliongia mgodini kinyume cha taratibu. (chanzo:Mwananchi 27.8.11)
Mimi naona hii imekaa vibaya. Tena kwa pande zote mbili - wananchi na polisi.
Nawasilisha wanajamvi tuijadili.
Mimi naona hii imekaa vibaya. Tena kwa pande zote mbili - wananchi na polisi.
Nawasilisha wanajamvi tuijadili.