Fighter kwa maelezo ya Kaunga, shemeji amebaka maana binti alikuwa anatoa kelele za 'sitakii, sitakii!!!'
Mh mi nae kwa umbeya! Utafikiri nilikuwepo!
Hebu mtendeeni haki huyo binti na nyie! Pelekeni hii man polisi aisee! Mtatusaidia kupunguza wabakajiUmeona eeh; sijui na utoto pia, au ulimbukeni wa pesa! Phfueew
Hapa kubalineni na mimi au kataeni jamaa alikua anacheat na housegirl wa 16yrs na kesi hapa ni ya kucheat! na ambayo husameheka.
Watu bwana.Kusema tu alikua akipiga kelele inawezekani ni kelele za kuumia(kwa maana eti ni mdogo at 16yrs) au raha!
Hapa kubalineni na mimi au kataeni jamaa alikua anacheat na housegirl wa 16yrs na kesi hapa ni ya kucheat! na ambayo husameheka.
Jamaa na mlaumu tu kwa nini housegirl wakati hawa viumbe wengi kwelikweli wa kila aina wewe tu!
Kusema tu alikua akipiga kelele inawezekani ni kelele za kuumia(kwa maana eti ni mdogo at 16yrs) au raha!
Hapa kubalineni na mimi au kataeni jamaa alikua anacheat na housegirl wa 16yrs na kesi hapa ni ya kucheat! na ambayo husameheka.
Jamaa na mlaumu tu kwa nini housegirl wakati hawa viumbe wengi kwelikweli wa kila aina wewe tu!
huwa sishabikii kuvunja ndoa at any cost
lakini hapo hana ndoa
anatafuta magnjwa tu ya bure
baadhi ya hao watu wa kazi hizo huwa ni wabakaji sana
huwa hawastakiwi kulinda hadhi ya sehemu zilizowaajiri
kwa kifupi hana mme hapo
ila mwenye ndoa ndo ataamua
afu %ya maambukizi ya vvu migodini ni kubwa
afu yuko mbali na mkwewe kitu kinachoongeza risk
Plus risk behaviors
duh!
hapo hakuna ndoa
maana binti ni less than 16
makosa ya kujamiiana anashtakiwa na jamhuri
tayari ni miaka 30
hii itamuokoa hata mdogo wako toka kwa huyo jamaa
Kwa hiyo mtoto sio kosa kushiriki tendo la ndoa na 'mwanamke' wa miaka 16 sababu sio mtoto, akipiga kelele ni za raha na akilia ni uchimvi. LAZIMA walikubaliana tu, hata aseme nini, na hata jirani waseme nini.Kusema tu alikua akipiga kelele inawezekani ni kelele za kuumia(kwa maana eti ni mdogo at 16yrs) au raha!
Hapa kubalineni na mimi au kataeni jamaa alikua anacheat na housegirl wa 16yrs na kesi hapa ni ya kucheat! na ambayo husameheka.
Jamaa na mlaumu tu kwa nini housegirl wakati hawa viumbe wengi kwelikweli wa kila aina wewe tu!
Kaunga hivi kitu kimewafanya hadi sasa hamjaenda kuripoti polisi? Naomba unipe concrete reason..
Kaunga hivi kitu kimewafanya hadi sasa hamjaenda kuripoti polisi? Naomba unipe concrete reason..
Huko kwingine atakujibu Kaunga.
Ila hapo pa mwisho, unasahau kuwa housegirl naye ni mmojawao hao viumbe!!
No Fe Lady, hapa victim sio mke. yeye ni collateral damage tu, victim ni huyo binti, na kosa kama hilo halisameeki!Amsamehe tu!asimpeleke polisi,wayamalize kidplomasia
Hapo kwenye red ni uongo mtupu havihusiani kabisa, kama mtu anatabia hiyo hata kama ni mchungaji atabaka tu.
Amsamehe tu!asimpeleke polisi,wayamalize kidplomasia