Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,469
- Thread starter
- #461
Haiwezi kuwa tofauti kwani tayari nimeshajipanga hivyo!! na najua ndoa sio mchezo na ndio maana naivutia kasi nikiingia humo najua hakuna kutoka wala kuachana kwa mambo yasiyokua na miguu wala mikono!
Haya hayajaanza leo hata mama zetu wenye zaidi ya miaka 50 kwenye ndoa wamevumilia mengi ndio maana leo tumlelewa vizuri na tukirudi vijijin tunawakuta!
Good for you!
For the single guys in JF, msiwe wazembe wife material/mke mwema yumo humu mshindwe wenyewe!