Gilbert Kinya
New Member
- Aug 14, 2011
- 2
- 0
Hivi wabunge waliokubali kwenda na ndege zilizotolewa na kampuni ya uchimbaji madini ya Barick kwaajili ya uchunguzi wa shughuli za mgodi huo wametoa mfano gani kwa taifa,hiyo si rushwa?
Hivi wabunge waliokubali kwenda na ndege zilizotolewa na kampuni ya uchimbaji madini ya Barick kwaajili ya uchunguzi wa shughuli za mgodi huo wametoa mfano gani kwa taifa,hiyo si rushwa?