Dini ya kwanza ni imani katika nafsi. Kushika Quaran au Biblia ni Mbwembwe tu kwani tumeshuhudia waliozibeba kwa unyenyekevu katika viapo lakini wakatukaanga. Isitoshe Prof. haendi kunadi dini bali kutafuta mustakabali wa nchi kwa kupima utayari wa nafsi yake kuwatumikia watanzania.
Hello Bandugu:
Tafadhali rejea site hii: matukio-michuzi
Nimeshangaa sana Prof. Baregu kuapa bila Biblia wala Quaran. Naomba kuelewesha maana/tafsiri yake. Please! Tafadhali!