Hello Bandugu:
Tafadhali rejea site hii: matukio-michuzi
Nimeshangaa sana Prof. Baregu kuapa bila Biblia wala Quaran. Naomba kuelewesha maana/tafsiri yake. Please! Tafadhali!
Suala la mtu kuapia Biblia/Qur'an wakati haendi kutenda kazi ya kanisa ni kuzibana mdomo. Lakini pili hivi ni vitu ambavyo vilitumika na wazungu ili mtu asikikiuke maagizo alopewa hata kama kuuwa eti Mungu atamlaani au atakuwa ametenda dhambi.
Kama mtu anaweza kupata kitabu cha NOT YET UHURU-OGINGA ODINGA akisome kinaweza kumsaidi kuelewa wazungu walivyo tubrainwash kwa kutumia dini, eti lazima upewe majina kama Joseph, Mohammed ndiyo uonekane wewe ni wa dini fulani, lazima uhudhurie Masjid/kanisan ili uonekane wewe ni mtu wa imani hiyo.
Yale maeneo ni ya kukutania hasa katika dunia ya sasa ambapo tamaduni zetu zimepungua nguvu na mshikamano umepungua hivyo kama mtu angesema yeye ni CDM/CCM/ADC nk.
=
NAWASILISHA=