Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,921
- 31,161
Kamati ya bunge ya mambo ya nje,ulinzi na usalama umeitaka serekali kukataa muundo wowote wa ushirikiano wa Afrika mashariki utakaoruhusu ardhi ya Tanzania kutumika kwa manufaa ya shirikisho.
Kamati ya bunge imeitaka serekali kuwa makini na suala la ardhi kwani ni rasilimali adimu na urithi pekeewa wananchi wa Tanzania.
Kamati ya bunge iliwasilisha rasmi mapendekezo yake kwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa mheshimiwa B Membe.
Kamati ya bunge imeitaka serekali kuwa makini na suala la ardhi kwani ni rasilimali adimu na urithi pekeewa wananchi wa Tanzania.
Kamati ya bunge iliwasilisha rasmi mapendekezo yake kwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa mheshimiwa B Membe.