mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 5,637
- 7,423
Yule ni mtoto wa waziri mkuu mstaafu kaa kwa kutuliaNdiye..yaani nilimuonea HURUMA,alinyong'onyea haswa...ningekuwa yeye,mwaka 2025 ningekaa pembeni ILA kwa kuwa maCCM huwa haya AIBU,atagombea
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app