Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Ndugu wana JF,
Nimeona niilete jukwaani hii hoja ya report ya kamati ya uchunguzi wa mikataba ya madini ambayo Zitto alikuwa ni member! Hatukuwahi kusikia matokeo ya uchunguzi wa kamati ile, na Zitto mwenyewe amenyamaza kimya wala hasemi chochote kuhusu matokeo ya kazi aliyoifanya. Je amefumbwa mdomo?
Nimeona niilete jukwaani hii hoja ya report ya kamati ya uchunguzi wa mikataba ya madini ambayo Zitto alikuwa ni member! Hatukuwahi kusikia matokeo ya uchunguzi wa kamati ile, na Zitto mwenyewe amenyamaza kimya wala hasemi chochote kuhusu matokeo ya kazi aliyoifanya. Je amefumbwa mdomo?