Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 3,839
- 3,084
Hatutaki kuishia kulivunja hilo baraza halafu wezi hao wanaachiwa kupeta, wanasheria na wapenda haki wote, fungueni mashitaka mbali mbali kutegemea na ubadhirifu ulioonyeshwa na report ya CAG, hili litakuwa fundisho kwa watendaji wazemebe na wezi wa mali ya umma.