Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,794
eep::ban::focus:.... Kagonge like kule!!!:A S-fire1:
subiri mimi Yenu bar...ndo nshasema ujue....
eep::ban::focus:.... Kagonge like kule!!!:A S-fire1:
habari ya pasaka?
Hahahaha........!
Naona umeanza kubadili tabia taratibu. Unatumia kinywaji gani?
Usimwogope kongosho, FYI huwa ananisaidia kwenye kugonganisha vinaniliyu vya wajukuu.
Come this way sasa.....:ballchain:
nzuri sana....wewe umepita salama..?
Natumia kinywaji unachotumia wewe......
bora nikupige sound, nikikupiga air hubaki hata mifupa yako.
BT na ODM, mtahamia Kenya sasa hivi, mkabadili tabia za wagombea wa ODM.
Mtachezeanaje hadharani? Naona mnatafuta shambulio la aibu?
Gongo nlishaachaga, sasa napiga orenji skwash....
Hivi Tecno nayo ni ya kichina?
yebo yebo ya baridiiii au madafu?
Ya kwako ya wapi?
Wakulu wangwe na vijukuu kwa mpigo marahaba.
Huyu mazee ODM anataraji kwenda maeneo ambayo laptop hairuhusiwi kufika na ikifika ukiiwasha haiwaki. Ukileta ukaidi ukang'angana kuiwasha screen haidisplay kitu....
Dadadeki ya Lusinde wallah... :smash:
Sasa basi kwa kuwa nawapendeni sana ntakuwa namisi kuwatendeeni haki kwa kale ka-button kangu pendwa ka LIKE. Kale kadude nisipokakong'oli mtima wangu huwa unashuka na mawasiliano kati ya ubongo na baiolojia huwa yanapata itilafu (Nahofia nisijebaka mitetea).
Sasa basi jiungeni nami kutakiana heri na kugongeana maLIKE.
Natumaini mchina wangu hataniangusha. hivyo Chit Chat kama kawaaa!
Hivi leo lini? Ngoja niwahi kaunta ya juu.
Babu ODM, like kitu gani, tugonganishe yale mambo yetu.
Yaani sredi nzima nimeambila LIKE mbili tu wakati mimi nimezimimina zaidi ya mia.
Watu wachoyo kama kikojoleo cha Pope.