MpigfilimbiwaHamelin
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 652
- 167
Jambo wadau,
nimesikia asubuhi hii Kamanda Kova akisema kuwa nafasi yake inachukuliwa na Simon Sirro kuanzia kesho.
Nijuzeni kama uteuzi wa Simon Sorro ulitangazwa, au Kova ndiye kamteua?
nimesikia asubuhi hii Kamanda Kova akisema kuwa nafasi yake inachukuliwa na Simon Sirro kuanzia kesho.
Nijuzeni kama uteuzi wa Simon Sorro ulitangazwa, au Kova ndiye kamteua?