Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,216
- 25,598
Kustaafu hakuhitaji kutangazwa. Inapofika siku ya kuzaliwa kutimiza miaka 60 yatosha kusema fulani amestaafu. Asante Kamanda Kova kwa utumishi wako kwa Taifa. Kila la kheri!
Chama hicho atakachojiunga nacho ni dhahiri kitakuwa chama cha magamba.Amesema kwa sasa yuko tayari kufanya kazi yo yote kulingana na umri wake na hata kuanza kufanya siasa kwa kujiunga na chama cho chote cha siasa!
Alikuwa anasubiri kitu gani kustaafu
Kamishina wa Polisi na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, Ametangaza asubuhi ya leo katika kipindi cha kumekucha cha ITV kwamba anastaafu rasmi kazi yake ya Upolisi.
Tunamtakia kila la heri huko aendako.
Kwangu mie kustaafu kwa Kova ni sawa na kuangalia Comedy katika TV halafu umeme ukakatika ghafla.Mheshimiwa Illeje kova hajawahi kuwa kinara mimi naona alikuwa kamanda wa media
Ukitilia maanani amefanikisha kazi aliyotumwa ya uchaguziKwani si alishastaafu na sasa alikuwa kwenye mkataba? Nadhani alishalipwa kiinua mgongo muda mrefu
Hapo kisu kimekita kwenye mfupaMkuu anawachunguza pia wezi wa makontena Bandarini huku mmoja wao akiwa ni mtoto wake Mosoud Selemani
Pole sana mkuu hiyo ndio duniaKuna jamaa amenidhulumu kiwanja changu huko Bunju. nilipoenda polisi kufungua mashtaka Huyu Silo akaja kumkingia kifua. sasa akipanda cheo si ndo kiwanja changu sikipati tena. Dah dunia hii figisu figisu tu
C c mAmesema kwa sasa yuko tayari kufanya kazi yo yote kulingana na umri wake na hata kuanza kufanya siasa kwa kujiunga na chama cho chote cha siasa!
Kama kweli anakwenda kuwa mkulima awahi mrijo, haubi kabla Tractor za wachaga wasukuma hazijarudi makwao huu ndio msimu. Hima kamanda mstaafuKwangu mie kustaafu kwa Kova ni sawa na kuangalia Comedy katika TV halafu umeme ukakatika ghafla.
Mkuuu bunju sehemu ganindo kesha chukua nafasi ya kove hivo
Hata wewe ukitaka unaweza kwenda kujitangaza ili mradi upewe nafasi! Ha ha ha ha ha ....kwani siku hizi ukiwa kamanda wa polisi unayemaliza muda wako wa utumishi
unaenda ITV kutangaza kustaafu ...? au ni taratibu mpya za utumishi wa umma.