Kamanda SUGU anaua vibaya, duh!

PAGAN

JF-Expert Member
Aug 19, 2014
11,231
17,817
Lumii_20231214_164603473.jpg
 
Mkoloni akiwa msaidizi wa Sugu,aliwahi kupata madhira ya kulishwa chakula chenye sumu,aliacha shughuli zake za mziki na akawa Karibu w Sugu kwenye uchaguzi mgumu sana ambapo CCM ilipelekea rundo la wasanii Mbeya kumsaidia mgombea wa CCM,ila Sugu akashinda na akaongoza kwa wabunge wote kupata kura 32,000+

Kumuandikia hivi Mkoloni ni kumvunjia heshima!!
 
Mkoloni akiwa msaidizi wa Sugu,aliwahi kupata madhira ya kulishwa chakula chenye sumu,aliacha shughuli zake za mziki na akawa Karibu w Sugu kwenye uchaguzi mgumu sana ambapo CCM ilipelekea rundo la wasanii Mbeya kumsaidia mgombea wa CCM,ila Sugu akashinda na akaongoza kwa wabunge wote kupata kura 32,000+

Kumuandikia hivi Mkoloni ni kumvunjia heshima!!
Kuna lugha za kishkaji tu usijali sana
 
Mkoloni akiwa msaidizi wa Sugu,aliwahi kupata madhira ya kulishwa chakula chenye sumu,aliacha shughuli zake za mziki na akawa Karibu w Sugu kwenye uchaguzi mgumu sana ambapo CCM ilipelekea rundo la wasanii Mbeya kumsaidia mgombea wa CCM,ila Sugu akashinda na akaongoza kwa wabunge wote kupata kura 32,000+

Kumuandikia hivi Mkoloni ni kumvunjia heshima!!
Nadhani utakua ni utani tu.
 
Mkoloni akiwa msaidizi wa Sugu,aliwahi kupata madhira ya kulishwa chakula chenye sumu,aliacha shughuli zake za mziki na akawa Karibu w Sugu kwenye uchaguzi mgumu sana ambapo CCM ilipelekea rundo la wasanii Mbeya kumsaidia mgombea wa CCM,ila Sugu akashinda na akaongoza kwa wabunge wote kupata kura 32,000+

Kumuandikia hivi Mkoloni ni kumvunjia heshima!!
Hawara ni Mwanamke ambae ulikua nae ukamuacha sasa unapomrudia na kutaka kumuoa ni the same anabakia kua hawara yako tu, Sasa sijajua Mkoloni aliwahi kua nae na wamerudiana au imekuaje
 
Mkoloni akiwa msaidizi wa Sugu,aliwahi kupata madhira ya kulishwa chakula chenye sumu,aliacha shughuli zake za mziki na akawa Karibu w Sugu kwenye uchaguzi mgumu sana ambapo CCM ilipelekea rundo la wasanii Mbeya kumsaidia mgombea wa CCM,ila Sugu akashinda na akaongoza kwa wabunge wote kupata kura 32,000+

Kumuandikia hivi Mkoloni ni kumvunjia heshima!!
Masihara tu haya...
 
Mkoloni akiwa msaidizi wa Sugu,aliwahi kupata madhira ya kulishwa chakula chenye sumu,aliacha shughuli zake za mziki na akawa Karibu w Sugu kwenye uchaguzi mgumu sana ambapo CCM ilipelekea rundo la wasanii Mbeya kumsaidia mgombea wa CCM,ila Sugu akashinda na akaongoza kwa wabunge wote kupata kura 32,000+

Kumuandikia hivi Mkoloni ni kumvunjia heshima!!
hacha kucomplicate issues,hyo ni kisela zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom