Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,955
- 20,354
....Ushakuwa mkulu na wewe?
.....Mkuu nimecheka sana Jumapili njema
....Ushakuwa mkulu na wewe?
Mkubwa tu.
InteRIgensia yake kiboko. Haikuona ya mbande ikawahi au walitengeneza wenyewe so walikuwa wanatuzuga tu?Kulingana na intelijensia yao kuna watu wanapewa fedha ili waende kwenye maandamano. Hivi mbona propaganda zimezidi?
Chanzo: Clouds TV Habari
Tuoneshe hizo pesa walivyo kuwa wanapeana bac,Mkubwa tu.
Kweli mkuu hivi wewe ni polisi umeshapata taarifa kuwa kuna watu wanagawa ngawila ili watu waandamane hiyo sept mosi kuna haja ya kwenda kwenye TV Kulalamika? au siku hizi hata polisi ni wanasiasa? kazi kwelikweli.sasa....yeye si ni askari na anawajua? kama wanachofanya ni hatia, si awakamate?
kwa askari kulalamika kwenye TV is a freaking waste of time and space!
Namkumbuka aliekuwa Kamanda wa jeshi la Polisi Zanzibar Kamishna MUSSA A. MUSSA ambae sikuzote akijitapa kuwa anfanya kazi zake kisayansi. Sasa nimemkubali.Taarifa na matamko yanayotolewa siku hizi ni ya kukurupuka,mepesi yasio na uzito na kuonekana kulalia propoganda zaidi kuliko uhalisia.Kulingana na intelijensia yao kuna watu wanapewa fedha ili waende kwenye maandamano. Hivi mbona propaganda zimezidi?
Chanzo: Clouds TV Habari