Mkubwa tu.Ana ushahidi?
Kwanini sasa asiwakamate!Mkubwa tu.
Kulingana na intelijensia yao kuna watu wanapewa fedha ili waende kwenye maandamano. Hivi mbona propaganda zimezidi?
Chanzo: Clouds tv habari
Aisee hivi Vincent Nyerere (Mb) aliyestaafishwa yupo? Yupo wapi?Hizo ni hisia tu
Malaika akizeeka anakuwa shetani na shetani akizeeka anakuwa malaikaKulingana na intelijensia yao kuna watu wanapewa fedha ili waende kwenye maandamano. Hivi mbona propaganda zimezidi?
Chanzo: Clouds tv habari
sasa....yeye si ni askari na anawajua? kama wanachofanya ni hatia, si awakamate?Kulingana na intelijensia yao kuna watu wanapewa fedha ili waende kwenye maandamano. Hivi mbona propaganda zimezidi?
Chanzo: Clouds tv habari
Aende mahakamani!Mkubwa tu.