Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,597
- 1,071
Ni vgum kuingia akin hawa vijana wana vinasaba Kama vyetu. labda ni substance abuse. God saveFor whatever reason unamuua mtu kijana ambae pengine ni baba kama wewe, kaka, mume, mjomba muumini, mtoto, mjukuu ili iweje halaf kikatili hvyo, no way vilio vya hao wote niliowataja hapo haviwezi kukuacha salama uwe mkubwa kama mbuyu au uwe na fedha nyingi za kujaza makontena bado kwa Mungu wewe ni punje tu ya haradani