Kamanda Kova apiga stop maandamano ya Libya - Dar

POMPO

JF-Expert Member
Mar 12, 2011
6,690
2,400
Jumuia ya ma imamu iliyokuwa imeandaa maandamo makubwa ya kupinga uvamizi wa nchi za magharibi nchini Libya, ambayo yalikuwa yafanyike kesho ljumaa yamepigwa STOP na Kova

Chanzo: TBC habari
 
Something is Wrong somewhere "Naona watu sasa kila kitu ni kuandamana,How can you protest on something that not even Libyan themselves are protesting for??" I would bet they don't have a clue on what is going on in Libya.

I personally have 2 friends in Libya and They are all supporting the invasion as they have been oppressed enough not even the Arab league is protesting, We must be realistic and not pessmistic!!
 
Something is Wrong somewhere "Naona watu sasa kila kitu ni kuandamana,How can you protest on something that not even Libyan themselves are protesting for??" I would bet they don't have a clue on what is going on in Libya.

I personally have 2 friends in Libya and They are all supporting the invasion as they have been oppressed enough not even the Arab league is protesting, We must be realistic and not pessmistic!!

No comment
 
matatizo ya kuto kutafakari kitu, wengine wakiwekewa pilau ni mbele kwa mbele hakuna kufikiria
 
Uzuri wa hawa jamaa upatikanaji wao kirahisi. Ukiwatangazia usiku huu kwamba kesho saa kumi na mbili asubuhi kuna maandamano ya kumuunga mkono Osama bin Laden na maandamano yataanzia Manzese na kuishia Kidongo chekundu utaona attendance yao. Utashangaa wapo barabarani kibao na mabango yao.

Wengine wanaandamana wakiwa na hasira lakini ukiwauliza wanadai nini watakwambia tumechoka kuonewa na serikali!!!!

Mambo hayo!
 
Uzuri wa hawa jamaa upatikanaji wao kirahisi. Ukiwatangazia usiku huu kwamba kesho saa kumi na mbili asubuhi kuna maandamano ya kumuunga mkono Osama bin Laden na maandamano yataanzia Manzese na kuishia Kidongo chekundu utaona attendance yao. Utashangaa wapo barabarani kibao na mabango yao.

Wengine wanaandamana wakiwa na hasira lakini ukiwauliza wanadai nini watakwambia tumechoka kuonewa na serikali!!!!

Mambo hayo!

Ofcourse Mkuu, walipanga after swala ya ljumaa, but wamekubaliwa wafanye mkutano hapo biafra kino.
 
Uzuri wa hawa jamaa upatikanaji wao kirahisi. Ukiwatangazia usiku huu kwamba kesho saa kumi na mbili asubuhi kuna maandamano ya kumuunga mkono Osama bin Laden na maandamano yataanzia Manzese na kuishia Kidongo chekundu utaona attendance yao. Utashangaa wapo barabarani kibao na mabango yao.

Wengine wanaandamana wakiwa na hasira lakini ukiwauliza wanadai nini watakwambia tumechoka kuonewa na serikali!!!!

Mambo hayo!
nikweli kabisa tena unaweza kuwapata wengi ila wakiambiwa waandameni kupinga mambo mabaya ndani ya nchi watasema uchochezi na uvunjifu wa aman, sijui nini

:angry:
 
Mufti Iddi Simba alidai maandamano ya CHADEMA kudai haki za watanzania kuna ajenda ya siri............Mungu amfichi mnafiki, leo hii mnadai maandamano ya kupinga Libya kuvamiwa....Mufti nakuuliza:

  1. Una uchungu na Walibya kuliko Watanzania?
  2. Una maslahi gani na Libya mpaka ukubali kuandamana kwa niaba yao?
  3. Waliwaomba mbona wao wanafurahia uvamizi wa nchi za magharibi?
Mnatuchefua, ni watanzania wenzetu lakini sometimes MNAKERA MH!
 
gadaf kawasaidia hvyo kawajengea msikiti hvyo hakuna kuhoji mamabaya yake
Inasikitisha kuumia kwa ajil ya watu ambao wanafurahia kuondolewa kwa dictator
 
Something is Wrong somewhere "Naona watu sasa kila kitu ni kuandamana,How can you protest on something that not even Libyan themselves are protesting for??" I would bet they don't have a clue on what is going on in Libya.

I personally have 2 friends in Libya and They are all supporting the invasion as they have been oppressed enough not even the Arab league is protesting, We must be realistic and not pessmistic!!

Mie nakubaliana nawe kabisa kuwa watu lazima wajikomboe na tawala za madikteta kama yanayotokea huko Libya, lakini pia naamini watu wawe na uhuru wa kutoa rai zao kwa maandamano ya amani hata kama hao watu wana rai tofauti na zetu.

Hawa makamanda wa usalama lazma waelewe kua enzi za ubabe na kunyanyasa watu zinafikia ukingoni. Angalia huko Misri hao polisi waliokuwa wananyanyasa na kutesa watu wanavyo andamwa na wananchi sasa.
 
Uzuri wa hawa jamaa upatikanaji wao kirahisi. Ukiwatangazia usiku huu kwamba kesho saa kumi na mbili asubuhi kuna maandamano ya kumuunga mkono Osama bin Laden na maandamano yataanzia Manzese na kuishia Kidongo chekundu utaona attendance yao. Utashangaa wapo barabarani kibao na mabango yao.

Wengine wanaandamana wakiwa na hasira lakini ukiwauliza wanadai nini watakwambia tumechoka kuonewa na serikali!!!!

Mambo hayo!

Ndo mlengo wao. Hata kama ni pesa haramu ukiwasaidia watakwabudu.
 
Tunajua janja ya kupigwa marufuku maadamano ya aina yoyote hapa dar.?
Waache wabane wataachia wenyewe.
 
Gaddafi alipoua raia zake kwa kuwalipua kwa makombora ya kurushwa na ndege hakuna aliyeandamana kupinga! Ama kweli akili ni nywele!
 
Hawa awakumbuki siku Idi Amini DADA alipotuvamia na kutumia Askari wa LIBYA kutupiga leo eti Tunataka kuandamana ili tufanyaje????????? Huyu mtu mpuuzi sana anauwa watu wake anaambiwa analeta ujinga lazima akomeshwe na Badfo ataendelea kutumia Watu wake kama ngao lakini atatoka tu madarakani. mimi ni mmoja wa askari niliepigana vita mwaka 1978/79 sasa mnataka kuleta nini je wangeshinda leo mngewashabikia hawa Waganda na mashoga zao LIBYA???????????
 
kwanini azuie maandamano yao, au kuna mambo ya inteligensia.

Si haki ya Kova kuamua ni nani aandamane na ni nani asiandamane. Sijui kwanini viongozi wa Afrika hawajifunzi?

Ipo siku tutakuja kuona minyukano baada ya polisi kuzuia maandamano ya vyama vya siasa na taasisi zisizo za serikali na za kidini.

Hatukujifunza Arusha, Tunisia, Misri...............
 
Inawezekana Gadafi alikuwa amewaahidi kitu sasa wanaona mambo yanakuwa ndivyo sivyo, na msaada hawajapewa.
 
Lakini si wana haki ya kikatiba ya ku express mawazo ( feelings zao) hata kama watawala au hata wananchi wengine hawazipendi? Waachwe wanaandamane!!
 
Hawa wanaoandamana Libya, Yemeni, Bahrain, Syria, Saudi Arabia nk. wanawaona ni wajinga? Wananchi wa Egypt na Tunisia walipowatimua marais wao kwa kuandamana tunawaona wajinga?

Nyinyi mashehe ubwabwa wa Bongo mnakereka na nini? Kwa hiyo ninyi mna uchungu wa hizo nchi kuliko raia wazawa?

Ama kweli baadhi ya waislaam ni mbumbumbu wa bendera fata upepo! Hapa TZ tukiwaambieni twendeni tukaandamane mitaani kwa kudai haki zetu za msingi.....mnasema ooooh hapa kuna udini na hawamtaki Kikwete kwa vile ni muislaam. Sasa wenzenu wa nchi za Arabu wote ni waislaam na wameamua kuandamana kwa kudai haki zao za kimsingi hadi kieleweke.... halafu nyie mnasema mnataka kuingia barabarani kuwapinga.

AMKENI NYIE WATU NA ACHENI UJUHA.....Yaani mnajifedhehesha sana kuliko mnavyojua! duuh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom