Something is Wrong somewhere "Naona watu sasa kila kitu ni kuandamana,How can you protest on something that not even Libyan themselves are protesting for??" I would bet they don't have a clue on what is going on in Libya.
I personally have 2 friends in Libya and They are all supporting the invasion as they have been oppressed enough not even the Arab league is protesting, We must be realistic and not pessmistic!!
Uzuri wa hawa jamaa upatikanaji wao kirahisi. Ukiwatangazia usiku huu kwamba kesho saa kumi na mbili asubuhi kuna maandamano ya kumuunga mkono Osama bin Laden na maandamano yataanzia Manzese na kuishia Kidongo chekundu utaona attendance yao. Utashangaa wapo barabarani kibao na mabango yao.
Wengine wanaandamana wakiwa na hasira lakini ukiwauliza wanadai nini watakwambia tumechoka kuonewa na serikali!!!!
Mambo hayo!
nikweli kabisa tena unaweza kuwapata wengi ila wakiambiwa waandameni kupinga mambo mabaya ndani ya nchi watasema uchochezi na uvunjifu wa aman, sijui niniUzuri wa hawa jamaa upatikanaji wao kirahisi. Ukiwatangazia usiku huu kwamba kesho saa kumi na mbili asubuhi kuna maandamano ya kumuunga mkono Osama bin Laden na maandamano yataanzia Manzese na kuishia Kidongo chekundu utaona attendance yao. Utashangaa wapo barabarani kibao na mabango yao.
Wengine wanaandamana wakiwa na hasira lakini ukiwauliza wanadai nini watakwambia tumechoka kuonewa na serikali!!!!
Mambo hayo!
Something is Wrong somewhere "Naona watu sasa kila kitu ni kuandamana,How can you protest on something that not even Libyan themselves are protesting for??" I would bet they don't have a clue on what is going on in Libya.
I personally have 2 friends in Libya and They are all supporting the invasion as they have been oppressed enough not even the Arab league is protesting, We must be realistic and not pessmistic!!
Uzuri wa hawa jamaa upatikanaji wao kirahisi. Ukiwatangazia usiku huu kwamba kesho saa kumi na mbili asubuhi kuna maandamano ya kumuunga mkono Osama bin Laden na maandamano yataanzia Manzese na kuishia Kidongo chekundu utaona attendance yao. Utashangaa wapo barabarani kibao na mabango yao.
Wengine wanaandamana wakiwa na hasira lakini ukiwauliza wanadai nini watakwambia tumechoka kuonewa na serikali!!!!
Mambo hayo!