Kamanda Kamuhanda: 4 Songea, 1 Iringa

Policcm na ccm na serekali yao wasidhani hivi vita dhidi ya dhuruma watashinda....umma siku zote hushinda wapi gadaff?wapi sadam hussen?hosin mbarak?....mumeshindwa leta maisha bora mnaleta vifo sasa kikwete hiyo ndio ahadi yako juu ya amani na ubindamu?...f*** u
 
Kweli mkuu hata mimi nikichangia sredi ya awali jioni,nimekumbuka kwamba huyu Kamanda aliongoza mauaji mengine Songea. Kwasababu hakuchukuliwa hatua zozote za kinidhamu,matokeo yake tumeyaona tena leo. Ni jukumu la Waziri na IGP kujiuzulu angalau kuonyesha huzuni yao kwa kitendo hiki cha aibu kwa Taifa letu.

Hivi yeye ndio jamuhuri na yuko juu ya sheria? Ana uwezo kiasi gani wa kuwa kamanda wa polisi wa mkoa? Wengine hawa hawastahili hata kuongoza watu wawili iweje wapewe mkoa mzima. Badala ya kutumia mbinu mbadala anaona sawa tu kuuaua
 
hii nchi sijui viongozi wetu wanatupeleka wapi kila siku kuua raia wasio na hatia tutike seheme tuseme basi imetosha
 
IMG_1875.JPG

Kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Michael Kamuhanda akizungumza na wanahabari leo
kuhusu sababu za kuzuia mkutano wa Chadema leo Mufindi


IMG_1878.JPG

Tumejipanga kwa lolote asema kamanda wa polisi kuwa si Chadema pekee hata CCM na vyama vyote marufuku mikutano wanaruhusiwa kufanya vikao vya ndani ili kupisha zoezi la sensa hadi jumamosi litakapomalizika

Kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Michael Kamuhanda Baada ya kuua raia waliokuwa katika maandamano ya amani huko songea - Ruvuma hivi karibuni, amehamishiwa Iringa ambako ameua Mwenyekiti wa mwandishi wa habari akiwa kazini na vifaa vyake.


Hadi buttons hazifungi - ana muonekano wa kimaslahi zaid
 
"Uhalifu na wahalifu wamepungua sana nchini. Bunduki zetu hizi, mabomu yetu haya yasipotumika yatakuwa sawa na yale ya Mbagala na Gongo la Mboto. Lazima tuyatumie". Nimemsikia raia mmoja akitania hivo kwenye daladala leo asubuhi! Yana ukweli haya?
 
sitaruhusu mtoto wangu ajiunge na jeshi la polisi hata rafiki zangu nitawashauri kama wanawapenda watoto wao wawashauri kufanya kazi nyingine mpaka hapo hili jeshi litakapofanyiwa marekebisho.
maana hayataishia hapa ni lazima kama si leo mungu atawalipia wanaouwawa kila siku bila hatia.
 
Tumbo lake liejaa haramu mpaka linataka kuchomoka katika magwanda aliyovaa! Is real a vampire!
 
Msishangae mkaambiwa marehemu alikuwa na bomu mfukoni alitaka kujitoa mhanga afe na mapolisi likamlipukia yeye mwenyewe.
 
Jina la Michael Kamuhanda nilipolisikia tu nilihisi kama nimewahi kulisikia tena siku si nyingi. Nina uhakika na wengine wamelikumbuka pia kuwa ndiye aliyekuwa Kamanda wa Polisi wa Ruvuma ambapo mapema mwaka huu (Februari) wananchi 4 waliuawa napolisi walipokuwa wakijaribu kuandamana kwenda ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Natamani wamlete Dar-es-Salaam pia ili watu waelewe tatizo tulilonalo. Nikimuita ni mhalifu sijui kama nitakuwa nimetia chumvi sana... haiwezekani ndani ya mwaka mmoja kamanda unasimamia mauaji ya raia kisa wanataka kuandamana tu! Hivi hana mbinu nyingine zozote kichwani mwake zaidi ya kuwa trigger happy!

Haya mauaji mi naamini kuna mkono wa CCM. Nakumbuka kuwa Nape alisema kuwa CHADEMA wameandaa vijana wa kufanya fujo. Sasa naona vijana walioandaliwa na kina Nape wamewasaliti hivyo wanatumia polisi kuanzisha fujo. Wasitegemee hilo litokee. Polisi wataua tu na baadaye 2015 nchi itaenda. Jana makamu wa rais kazindua kampeni huko Zanzibar, je huko hakuna sensa?
 
Hii inasikitisha....lkn POLISI wanapaswa kufahamu kuwa kila raia anahaki ya kuishi, tatizo POLISI wetu wao wanajiona kama wako juu ya kila kitu, kitu ambacho sio kweli....
 
Last I checked, Kamuhanda kasema anakaribia kustaafu na pia amepokea maagizo toka ngazi fulani za juu kuwathibiti CHADEMA (read at all costs).

Elimu sifuri, maadili sifuri hao ndio polisi wa Tanzania. Hasara wanazosababisha tunaziona na kupata machungu sana. Kikwete akitaka kujua anavyodharaulika si tu na wananchi abali hata na watendaji wake athubutu kuangalia mtiririko wa matukio ya hivi karibuni. Tokea mwezi wa sita lile tukio la Dk Ulimboka hadi jana hili la Mwangosi, ni unyama, uhuni na kutotii sheria. Nchi ilishamshinda ila kwa vile hakuwa na exit plan basi ana hang-around!
 
Mzee Mwanakijiji hii ishu ya police kutumia nguvu na kuua raia kwenye mikutano ya CHADEMA ni trap. Na viongozi wengi wa CHADEMA wamefall into that trap. Kwangu mimi naona ni kama mkakati unaosukwa kwa ajili ya kuiangamiza kabisa hiki chama na kuipoteza kwenye ramani ya politics.
 
Last edited by a moderator:
Nape alishasema CDM itasambaratika soon!! anajua anachosiiomamia katika hili. Sio rahisi hata uwe na akili za kichizi kudhania kuwa chama kama CDM kisambaratike soon!! VIPI ZZK bado anamkuu bado huko.
 
Mzee Mwanakijiji hii ishu ya police kutumia nguvu na kuua raia kwenye mikutano ya CHADEMA ni trap. Na viongozi wengi wa CHADEMA wamefall into that trap. Kwangu mimi naona ni kama mkakati unaosukwa kwa ajili ya kuiangamiza kabisa hiki chama na kuipoteza kwenye ramani ya politics.

Waanzania wa sasa sio kama unavyowafikiria, wanaona na kujua udhalimu wote wa CCM na polisi. Jambo hili linazidi kuwaongezea hasira na kukichukia chama tawala. kipo wapi KANU cha Kenya???
 
Tanzania ya sasa ingekuwa kama ya miaka 20 iliyopita ingekuwa sawa kusema kuwa wananchi hawajui maovu yanayofanywa na polisi! Leo tuna kila sababu ya kuujua ukweli na kutembea juu ya ukweli huo.
 
mkuu, tumbo kubwa kama la kamanda mara nyingi mzunguko wa damu kwenda tumboni unakuwa mkubwa kuliko kichwani,matokeo yake kichwa inakosa uwezo wa busara wa wapi pa kutumia nguvu na wapi maneno.
 
Poleni watanzania wenzangu. Huku USA hali ya Democrasia imekuwa kwa kiasi kikubwa na hivi hayo ni yakawaida pindi yanapotokea. Lakini huko nyumbani ni matatizo matupu. Ila ndio tupo katika kipindi cha mpito. Yote hayo yatapita na tutakomaaa tu. Ila kwa hili Kamhanga yupo sahihi katika kutekeleza majukumu yao. Kumbuka Dola wana kwenda kwa amri tena amri ya mwisho ndio mara zote hufuatwa. Tatizo la baadhi ya Watanzania hawataki kukubali ukweli kwamba kuna wakati ukifika yapasa kutii dola. Mimi sijaona sana sababu ya M4C KUSHINDANA NA DOLA. Serikali ikisema yatupasa kusikiliza. Tukileta ubishi madhara yake ndo kama haya. Wenyewe wanasema "UTII WA SHERIA BILA KUSHURUTISHWA" Kwa kuwa hatutii sheria na sasa tunashurutishwa na kwenye kusurutishwa kunakuwa na matokeo mabaya ndo hayo sasa. Tujifunze kutii dola na si kulazimisha mambo. Poleni!









Jina la Michael Kamuhanda nilipolisikia tu nilihisi kama nimewahi kulisikia tena siku si nyingi. Nina uhakika na wengine wamelikumbuka pia kuwa ndiye aliyekuwa Kamanda wa Polisi wa Ruvuma ambapo mapema mwaka huu (Februari) wananchi 4 waliuawa napolisi walipokuwa wakijaribu kuandamana kwenda ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Natamani wamlete Dar-es-Salaam pia ili watu waelewe tatizo tulilonalo. Nikimuita ni mhalifu sijui kama nitakuwa nimetia chumvi sana... haiwezekani ndani ya mwaka mmoja kamanda unasimamia mauaji ya raia kisa wanataka kuandamana tu! Hivi hana mbinu nyingine zozote kichwani mwake zaidi ya kuwa trigger happy!
 
Ee Mungu usikie kilio changu,muuaji huyu muangamize bwana,mteketeze na muue kwa mtindo huu huu aliomuua mwandishi wa habari kwa kumtoa utumbo nje.Mlaani bwana na kizazi chake chote.Mtie upofu bwana.Kifo chake na kiwe furaha kwa wanyonge wa Taifa hili bwana....Amina...nasema tena Amina.
 
Back
Top Bottom