Kama wewe ni maskini ni vyema utambue mapema kuwa rasilimali za nchi hii hazikuhusu, ndio maana Sheria kali za kulinda rasilimali ziko kwaajili yako

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,705
36,159
Hello!

Kama wewe maskini please, please, please usizisogelee hizi rasilimali za taifa .

Ni hatari zaidi ya kutupia kitimoto kwenye kusanyiko la Eid.

Utauliwa na vijana wa TAWA, TANAPA, au TFS na ukinusurika nao utaozea jela.
Ni ushauri tu.

20231227_140101.jpg
1704455535279.jpg

1704457049224.jpg

1696045876995.png
 
Hello!

Kama wewe maskini please, please, please usizisogelee hizi rasilimali za taifa .

Ni hatari zaidi ya kutupia kitimoto kwenye kusanyiko la Eid.

Utauliwa na vijana wa TAWA, TANAPA, au TFS na ukinusurika nao utaozea jela.
Ni ushauri tu.

View attachment 2862532View attachment 2862533
View attachment 2862543
View attachment 2862540
Masikini ndie rasilimali yenyewe unahusikaj na rasilimali zingine, wa kupigwa mnada tu Wajasiliamali wakipatika Tena bora sokwe na nyani na wanyana wengine sio masikini
 
Masikini ndie rasilimali yenyewe unahusikaj na rasilimali zingine, wa kupigwa mnada tu Wajasiliamali wakipatika Tena bora sokwe na nyani na wanyana wengine sio masikini
That's why I told all poor tanzanians to stay far from the natural resources of their country
 
Back
Top Bottom