GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,758
- 109,385
Si tunajiamini kuwa Simba ni Timu Bora kabisa na tumepita CAFCC jana Aprili 4, 2022 kwa uwezo wetu na tuna jeuri ya kucheza na timu yoyote Afrika, sasa kwa nini karibia 99% ya Wanasimba wanaombea wakutane na Al Ahly Tripoli ya nchini Libya na kamwe siyo TP Mazembe ya Congo DR au Orlando Pirates ya South Africa?
Tukisema ukweli kuwa kwa kiwango cha Simba SC kwa sasa na kwa aina ya wachezaji tulionao pamoja na uwekezaji wetu mchanga kwa hizi timu tatu ambazo moja wapo tutacheza nao Simba SC 'hatutotoboa' kwenda Nusu Fainali ya Shirikisho mnanitukana na mnatutukana tuliowazidi upeo, maono na jicho kali la uchambuzi wa michezo ( hasa Mpira wa Miguu wa Tanzania) na masuala mengine.
Ninasisitiza hapo ndiyo mwisho Wetu!
Tukisema ukweli kuwa kwa kiwango cha Simba SC kwa sasa na kwa aina ya wachezaji tulionao pamoja na uwekezaji wetu mchanga kwa hizi timu tatu ambazo moja wapo tutacheza nao Simba SC 'hatutotoboa' kwenda Nusu Fainali ya Shirikisho mnanitukana na mnatutukana tuliowazidi upeo, maono na jicho kali la uchambuzi wa michezo ( hasa Mpira wa Miguu wa Tanzania) na masuala mengine.
Ninasisitiza hapo ndiyo mwisho Wetu!