Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 17,984
- 43,472
Lazima kuna kitu wazazi wa kiume kiliwavuta kwa hao wazazi wa kike ni kama leo wengi tunataka mrembo mwenye takoLakini MNA wazazi wa kike jaman
Lazima kuna kitu wazazi wa kiume kiliwavuta kwa hao wazazi wa kike ni kama leo wengi tunataka mrembo mwenye takoLakini MNA wazazi wa kike jaman
FactSiku hizi dini zimekuwa kama biashara, zimegeuka kitega uchumi na ndio maana WACHUNGAJI wanashindwa kukemea vitu kama hivyo wakijua kwamba watawafukuza wateja wao wakikemea
Mkuu usishangae,miaka mingi tumepigwa upofu!Kumbe haya makanisa ni vichaka vya Shetani,wala hajawahi kuyaachia baada ya kujitenga na Catholicsism.Papa mwenyewe amesema madhehebu hayo ni makahaba,Kanisa la Roma lenyewe likiwa ndilo Mama wa Makahaba hayo!The so called Churches,kumbe kujitenga na Catholicsism haikuwa lolote,but was a tactical move by Satan kuwadanganya watu ili kuendeleza the Pagan Worship practised by the Catholic Church.So usishangae mkuu,it is part of the game.
Pope Francis himself has revealed it all,watch this👇.Ila usifurahi kama wewe ni Muislam,you are not safe either.Infact hali ya Islam is even worse.
Mtoto wa kike ujaonfolewaje upako kwa uvaaji mkuu?Uvaaji kanisani kiukweli umekuwa wa ovyo Sana... Full kuondoana upako
Nadhani nimeeleweka mkuuMtoto wa kike ujaonfolewaje upako kwa uvaaji mkuu?
Au unawasemea wanaume?
Vp wana misambwandaMkuu unadhani kama ningepiga picha pale ingeelewekaje?
Ni kweli kabisa mkuu.Hakuna sababu yeyote ya ku-photoshop kitu kama hicho,for what reason,personally siioni.Infact kama unajua kinacho endelea in the spiritual World,you will easily appreciate the truth of this clip.Mungu ameamua kuwatumia hao hao kufunua ukweli,ili watu wenye nia ya kweli ya kwenda Mbinguni wajiandae.Mungu amesema in the Bible,pando lisilo lake ataling'oa👇Mkuu hiki kitu ni kweli? au ni zile zinazoitwa photoshop.....maana ni kama anaongea kinyume na kile anachosimamia, hebu tupe uhakika wa hii clip.
🤣🤣🤣🤣Acha ndoto wee huwezi kuolewa🤣🤣🤣
Nani ataoa mwanamke mwenye tatoo kwenye tako🤣🤣🤣🤣
Ni kweli kabisa mkuu.Hakuna sababu yeyote ya ku-photoshop kitu kama hicho,for what reason,personally siioni.Infact kama unajua kinacho endelea in the spiritual World,you will easily appreciate the truth of this clip.Mungu ameamua kuwatumia hao hao kufunua ukweli.Mungu amesema in the Bible,pando lisilo lake litawekwa wazi,who he uses is His own choice.
Hv kwann wanaume wote wanapenda mabinti wenye wowowo?Lazima kuna kitu wazazi wa kiume kiliwavuta kwa hao wazazi wa kike ni kama leo wengi tunataka mrembo mwenye tako
Bei tulia has watu wanarudi Eden mdogo mdogoUvaaji kanisani kiukweli umekuwa wa ovyo Sana... Full kuondoana upako
Hakika yaanBei tulia has watu wanarudi Eden mdogo mdogo
Kaka unataka kuniingiza kwenye mtihani aisee! HahahahVp wana misambwanda
Ova
Kwahiyo baada ya kubarikiwa kanisani then wanaokuja kujipongeza mkuu?Mkuu lete picha 😂😂😂 Hapa Jirani yangu Kuna kanisa la Roma ibada ikiisha huwa anaitisha creti ya safari au Kilimanjaro then watakao wanamwagilia Moyo ...nikasema hii hapana