Swts
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,062
- 1,292
hivi mtu akikupa kama dola milioni moja tuu saivi utafanya nazo ninwatching movie, playing games and listening to music!
hivi mtu akikupa kama dola milioni moja tuu saivi utafanya nazo ninwatching movie, playing games and listening to music!
Chunya, mbeyapande za wap mkuu? nipo mji kasoro bahari mie....!
thats cool. je if u have to change anything on jf what would it beDaa kiukweli ntakamilisha mipango ambayo bado ipo kichwani itakayoendana na hiyo pesa....hasa suala langu la elimu!
thats cool. je if u have to change anything on jf what would it be
mwatunyima nin huko?? naonaga tu kruza zenu zikijitahidi kuwafikisha chunya
Nina kawaida ya kuisoma kabla ya kulala hivyo tayari nishagusa sehem ya leo.
sina ucngiz kama vp leta stori mwana mmu
Haupo mbali kivile....bt nilitaka kujua hyo mipango yako ya toka utotoni imefikia wapi kwa sasa? au ndio bado hujaianza??
Usingizi huooo....bye bye and thanks kwa kampani!
hongera sana na kila la kheri..! tuombeane ili nac tufike zaidi ya huko mliko!
Namtahadharisha tu asije kuambiwa "mambo auntie"ikawa ugomvi wa kuchatishana!!!!!
Eti wanaboresha lugha......wanakera et!