kama uko free mida hii.....tuchati

Nina mke mmoja ambaye ni rafiki na mshauri wangu wa karibu ambaye humu jamvini namwoneshaga kwa jina la mama Bhooke, nikiri pamoja na malezi thabiti ya mama yangu ila huyu mama Bhoke wangu kwa kiasi kikubwa kashape vision zangu sana! Ogopa mwanamke mwenye ability ya kusoma unavyowaza...

ni kwel bro...! hongera kwa mama Bhoke pia na MUNGU awabariki sana, mtukumbuke na sisi ambao hatujawapata hao kina mama Bhoke!
 
ni kwel bro...! hongera kwa mama Bhoke pia na MUNGU awabariki sana, mtukumbuke na sisi ambao hatujawapata hao kina mama Bhoke!

Brother haya mambo ni kuamua tu kujicommit maana wengi wetu tusichojua ni kwamba tutazunguka weee ila mwisho wa siku mamabo ni yale yale...Nakuombe kwa Mungu kila nipatapo wasaa na hakika ningali natazama wakati wako waja ambapo utampata wa sawa na haja zako na ndipo utarudiwa na maneno yangu kwamba kila mmoja wetu ana fungu jema alilopangiwa na Mungu ila kwa haraka zetu za kibinadamu tumejikuta tukila na visivyoliwa wakati vyetu vikizeekea ghalani...
 
Brother haya mambo ni kuamua tu kujicommit maana wengi wetu tusichojua ni kwamba tutazunguka weee ila mwisho wa siku mamabo ni yale yale...Nakuombe kwa Mungu kila nipatapo wasaa na hakika ningali natazama wakati wako waja ambapo utampata wa sawa na haja zako na ndipo utarudiwa na maneno yangu kwamba kila mmoja wetu ana fungu jema alilopangiwa na Mungu ila kwa haraka zetu za kibinadamu tumejikuta tukila na visivyoliwa wakati vyetu vikizeekea ghalani...

Amen and please keep on praying for me!!
 
Canop kajinsia kako ni kepi mbee? Embu jaribu kutembelea na majukwaa mengine ndao! Si unajua hata kwenye mapenzi kuna poo
 
Canop kajinsia kako ni kepi mbee? Embu jaribu kutembelea na majukwaa mengine ndao! Si unajua hata kwenye mapenzi kuna poo

am a man mkuu...na mapenzi kwa sasa hayana nafac nataka nikamilishe masuala ya elimu kwanza na nimtumikie Yesu hali damu yangu i moto though ctaacha kumtumikia up to the end!
Siku nyingne mkuu kwa sasa nalala, i leave to you the word of GOD from philip 4:6-7.
 
am a man mkuu...na mapenzi kwa sasa hayana nafac nataka nikamilishe masuala ya elimu kwanza na nimtumikie Yesu hali damu yangu i moto though ctaacha kumtumikia up to the end!
Siku nyingne mkuu kwa sasa nalala, i leave to you the word of GOD from philip 4:6-7.
+

Alamsiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom