I doubt the ability of the interviwer in using the language since that is not a standard English clause; not even an idiom! You could ask them what they meant by that.
wanaweza kuhoji hivyo ili kujua uwezo wa kujiamini na kutambua namna ambayo mhusika anaweza kutafsiri na kuukosoa ujumbe wenye walakini hata kama unatoka kwa wakubwa wako wa kazi...mi nionavyo kwa kuangalia lugha mbovu ukihusianisha na umakini wa interview.unawauliza kama wanamaanisha... To introduce who you are or anything else?