Kama uchaguzi ungefanyika leo, Lowassa angeshinda kwa kishindo

Tokea serikali hii iingie madarakani, maisha yamezidi kuwa magumu, ajira ni bomu linaloenda kulipuka muda wowote. Wanafunzi zaidi ya asilimia 76% wamekosa mikopo. Utumishi wa umma umekuwa kama tanuru la moto. Serikali haina dira wala sera ya pamoja. Mawaziri wako busy kuuza sura kwenye mitandao. Milo mitatu kwa sasa ni shida.

Biashara nyingi zinafungwa, hakuna wateja. Hakuna uhuru wa demokrasia. Hakuna furaha kwa watumishi hata wananchi wa kawaida. Wakulima mazao yao yanaoza chini. Wakuu wa wilaya wako busy kuweka wabunge na madiwani ndani. Kiwango cha Umasikini unazidi. Kodi kila kona hata kwa mamantilie... Boda boda kila siku ukamatwa na polisi. Machinga upigwa na kunyanganywa bidhaa zao..

Kwa kweli sidhani kama haya ndio mabadiliko tulikuwa tunayahitaji. Naamini Lowassa angefanya vizuri sana kuliko sasa.

Kwa niaba ya wananchi wote naomba nitumie fursa hii kuwaomba msamaha. Nilipiga kura upande wa kijani ila kwa kweli haya mabadiliko sio tuliotegemea.

Hatuna haja ya kumlaumu Jakaya kwa kukata majina ya wazoefu na ambao wangefanya vizuri, bali niwaombe tuvumilie kwa hii miaka michache mpaka 2020 tusifanye kosa tena. Kama funzo tumepata na tunaendelea kupata, 2020 tusirudie kufanya makosa..

Mungu alikuwa na uwezo wa kumzuia Sauli bali alimwacha ili wana wa~Israeli wapate funzo, ndipo baadaye akaja Daudi. Nani ajuaye malengo ya Mungu katika hili!...
Paka shume ni nani?

 
Tokea serikali hii iingie madarakani, maisha yamezidi kuwa magumu, ajira ni bomu linaloenda kulipuka muda wowote. Wanafunzi zaidi ya asilimia 76% wamekosa mikopo. Utumishi wa umma umekuwa kama tanuru la moto. Serikali haina dira wala sera ya pamoja. Mawaziri wako busy kuuza sura kwenye mitandao. Milo mitatu kwa sasa ni shida.

Biashara nyingi zinafungwa, hakuna wateja. Hakuna uhuru wa demokrasia. Hakuna furaha kwa watumishi hata wananchi wa kawaida. Wakulima mazao yao yanaoza chini. Wakuu wa wilaya wako busy kuweka wabunge na madiwani ndani. Kiwango cha Umasikini unazidi. Kodi kila kona hata kwa mamantilie... Boda boda kila siku ukamatwa na polisi. Machinga upigwa na kunyanganywa bidhaa zao..

Kwa kweli sidhani kama haya ndio mabadiliko tulikuwa tunayahitaji. Naamini Lowassa angefanya vizuri sana kuliko sasa.

Kwa niaba ya wananchi wote naomba nitumie fursa hii kuwaomba msamaha. Nilipiga kura upande wa kijani ila kwa kweli haya mabadiliko sio tuliotegemea.

Hatuna haja ya kumlaumu Jakaya kwa kukata majina ya wazoefu na ambao wangefanya vizuri, bali niwaombe tuvumilie kwa hii miaka michache mpaka 2020 tusifanye kosa tena. Kama funzo tumepata na tunaendelea kupata, 2020 tusirudie kufanya makosa..

Mungu alikuwa na uwezo wa kumzuia Sauli bali alimwacha ili wana wa~Israeli wapate funzo, ndipo baadaye akaja Daudi. Nani ajuaye malengo ya Mungu katika hili!...
Mchana ni mawazo, usiku ni ndoto, pole sana
 
Tokea serikali hii iingie madarakani, maisha yamezidi kuwa magumu, ajira ni bomu linaloenda kulipuka muda wowote. Wanafunzi zaidi ya asilimia 76% wamekosa mikopo. Utumishi wa umma umekuwa kama tanuru la moto. Serikali haina dira wala sera ya pamoja. Mawaziri wako busy kuuza sura kwenye mitandao. Milo mitatu kwa sasa ni shida.

Biashara nyingi zinafungwa, hakuna wateja. Hakuna uhuru wa demokrasia. Hakuna furaha kwa watumishi hata wananchi wa kawaida. Wakulima mazao yao yanaoza chini. Wakuu wa wilaya wako busy kuweka wabunge na madiwani ndani. Kiwango cha Umasikini unazidi. Kodi kila kona hata kwa mamantilie... Boda boda kila siku ukamatwa na polisi. Machinga upigwa na kunyanganywa bidhaa zao..

Kwa kweli sidhani kama haya ndio mabadiliko tulikuwa tunayahitaji. Naamini Lowassa angefanya vizuri sana kuliko sasa.

Kwa niaba ya wananchi wote naomba nitumie fursa hii kuwaomba msamaha. Nilipiga kura upande wa kijani ila kwa kweli haya mabadiliko sio tuliotegemea.

Hatuna haja ya kumlaumu Jakaya kwa kukata majina ya wazoefu na ambao wangefanya vizuri, bali niwaombe tuvumilie kwa hii miaka michache mpaka 2020 tusifanye kosa tena. Kama funzo tumepata na tunaendelea kupata, 2020 tusirudie kufanya makosa..

Mungu alikuwa na uwezo wa kumzuia Sauli bali alimwacha ili wana wa~Israeli wapate funzo, ndipo baadaye akaja Daudi. Nani ajuaye malengo ya Mungu katika hili!...
NDOTO za mchana hizo..pole
 
Twaweza: Asilimia 96 wanamkubali Rais Magufuli

Forbes Africa: Asilimia 84 ya Watu wote Barani Afrika wanataka Magufuli awe Person of the Year 2016

Jiongoze mwenyewe huyo Lowasa wako angechaguliwa na nani?
Baeleze hao wamepanic hawana la kufanya wanashinda kwenye mitandao kusambaza sumu na mtashindwa tu..tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu.
 
Ndio mkome mlikuwa mmezoea kula vya bure, kupiga ndio ilikuwa maisha . Misheni town nyiiiiingi.

Mtu hana kazi lakini kila kiamka jioni ana laki na usheh.

Saivi ni lazima ujitume ndio upate ngawira


Ulichokiandika umekisoma kweli au unasuburi chai Na chapati uende shule.,
Mnachokazwa ujinga watu walikuwa wanapiga Dili ila hujui saivi hata alifunguwa biashara yake kihalali kabisa bila Dili anakwambia hali ngumu., watu wanapunguzwa maofisin Kwa kuwa mauzo au kazi zimepunguwa., Sijui unawaza kwa kutumia Nini !
 
Hahhahahhahhah...kutumwa na kwenyewe kazi sana hizi unalipwa shilingi ngapi?
 
Tokea serikali hii iingie madarakani, maisha yamezidi kuwa magumu, ajira ni bomu linaloenda kulipuka muda wowote. Wanafunzi zaidi ya asilimia 76% wamekosa mikopo. Utumishi wa umma umekuwa kama tanuru la moto. Serikali haina dira wala sera ya pamoja. Mawaziri wako busy kuuza sura kwenye mitandao. Milo mitatu kwa sasa ni shida.

Biashara nyingi zinafungwa, hakuna wateja. Hakuna uhuru wa demokrasia. Hakuna furaha kwa watumishi hata wananchi wa kawaida. Wakulima mazao yao yanaoza chini. Wakuu wa wilaya wako busy kuweka wabunge na madiwani ndani. Kiwango cha Umasikini unazidi. Kodi kila kona hata kwa mamantilie... Boda boda kila siku ukamatwa na polisi. Machinga upigwa na kunyanganywa bidhaa zao..

Kwa kweli sidhani kama haya ndio mabadiliko tulikuwa tunayahitaji. Naamini Lowassa angefanya vizuri sana kuliko sasa.

Kwa niaba ya wananchi wote naomba nitumie fursa hii kuwaomba msamaha. Nilipiga kura upande wa kijani ila kwa kweli haya mabadiliko sio tuliotegemea.

Hatuna haja ya kumlaumu Jakaya kwa kukata majina ya wazoefu na ambao wangefanya vizuri, bali niwaombe tuvumilie kwa hii miaka michache mpaka 2020 tusifanye kosa tena. Kama funzo tumepata na tunaendelea kupata, 2020 tusirudie kufanya makosa..

Mungu alikuwa na uwezo wa kumzuia Sauli bali alimwacha ili wana wa~Israeli wapate funzo, ndipo baadaye akaja Daudi. Nani ajuaye malengo ya Mungu katika hili!...
Kama ni uchaguzi wa cdm kurudia basis atashinda kwa kishindo lakini wa jamuhuri atakosa hata zile alizopata awali
 
Tokea serikali hii iingie madarakani, maisha yamezidi kuwa magumu, ajira ni bomu linaloenda kulipuka muda wowote. Wanafunzi zaidi ya asilimia 76% wamekosa mikopo. Utumishi wa umma umekuwa kama tanuru la moto. Serikali haina dira wala sera ya pamoja. Mawaziri wako busy kuuza sura kwenye mitandao. Milo mitatu kwa sasa ni shida.

Biashara nyingi zinafungwa, hakuna wateja. Hakuna uhuru wa demokrasia. Hakuna furaha kwa watumishi hata wananchi wa kawaida. Wakulima mazao yao yanaoza chini. Wakuu wa wilaya wako busy kuweka wabunge na madiwani ndani. Kiwango cha Umasikini unazidi. Kodi kila kona hata kwa mamantilie... Boda boda kila siku ukamatwa na polisi. Machinga upigwa na kunyanganywa bidhaa zao..

Kwa kweli sidhani kama haya ndio mabadiliko tulikuwa tunayahitaji. Naamini Lowassa angefanya vizuri sana kuliko sasa.

Kwa niaba ya wananchi wote naomba nitumie fursa hii kuwaomba msamaha. Nilipiga kura upande wa kijani ila kwa kweli haya mabadiliko sio tuliotegemea.

Hatuna haja ya kumlaumu Jakaya kwa kukata majina ya wazoefu na ambao wangefanya vizuri, bali niwaombe tuvumilie kwa hii miaka michache mpaka 2020 tusifanye kosa tena. Kama funzo tumepata na tunaendelea kupata, 2020 tusirudie kufanya makosa..

Mungu alikuwa na uwezo wa kumzuia Sauli bali alimwacha ili wana wa~Israeli wapate funzo, ndipo baadaye akaja Daudi. Nani ajuaye malengo ya Mungu katika hili!...
Kama Uchaguzi wa uenyekiti wa CDM kweli hata kura hapigiwi. Atapitishwa kwa kauli moja. Kama Urais wa Nchi asahau kabisaaaaaaaa! He is politically finished!!
Tokea serikali hii iingie madarakani, maisha yamezidi kuwa magumu, ajira ni bomu linaloenda kulipuka muda wowote. Wanafunzi zaidi ya asilimia 76% wamekosa mikopo. Utumishi wa umma umekuwa kama tanuru la moto. Serikali haina dira wala sera ya pamoja. Mawaziri wako busy kuuza sura kwenye mitandao. Milo mitatu kwa sasa ni shida.

Biashara nyingi zinafungwa, hakuna wateja. Hakuna uhuru wa demokrasia. Hakuna furaha kwa watumishi hata wananchi wa kawaida. Wakulima mazao yao yanaoza chini. Wakuu wa wilaya wako busy kuweka wabunge na madiwani ndani. Kiwango cha Umasikini unazidi. Kodi kila kona hata kwa mamantilie... Boda boda kila siku ukamatwa na polisi. Machinga upigwa na kunyanganywa bidhaa zao..

Kwa kweli sidhani kama haya ndio mabadiliko tulikuwa tunayahitaji. Naamini Lowassa angefanya vizuri sana kuliko sasa.

Kwa niaba ya wananchi wote naomba nitumie fursa hii kuwaomba msamaha. Nilipiga kura upande wa kijani ila kwa kweli haya mabadiliko sio tuliotegemea.

Hatuna haja ya kumlaumu Jakaya kwa kukata majina ya wazoefu na ambao wangefanya vizuri, bali niwaombe tuvumilie kwa hii miaka michache mpaka 2020 tusifanye kosa tena. Kama funzo tumepata na tunaendelea kupata, 2020 tusirudie kufanya makosa..

Mungu alikuwa na uwezo wa kumzuia Sauli bali alimwacha ili wana wa~Israeli wapate funzo, ndipo baadaye akaja Daudi. Nani ajuaye malengo ya Mungu katika hili!...
 
Kumbe unasikia....!!!!!!

Njoo U prove

Mtt Mzur

Hivi kweli nyinyi bado mnamuwaza LOWASA awe Rais!!! Wakati yeye mwenyewe, akiwa kwenye mikutano yake 2015 kule Iringa, aliwaambia kuwa kama mtashindwa kuiondoa CCM madarakani mwaka 2015, basi itawachukua muda mrefu kuing'oa madarakani. Mimi ninaamini kuondoka Magufuli madarakani, ni mwaka 2025. Hivyo kama kweli Lowasa mnataka awe Rais, inabidi muaanze maandalizi mapema kuanzia sasa kwa ajili ya 2025. Huo ndiyo ukweli. Mimi kura yangu iko tayari kwa Magufuli ifikapo mwaka 2020.
 
Kwani manvi alisema ataenda kuchunga ng'ombe akishindwa urais. Siku hizi ngombe wanachunwa mijini. Au ndio nyumbu anawachunga
 
Tokea serikali hii iingie madarakani, maisha yamezidi kuwa magumu, ajira ni bomu linaloenda kulipuka muda wowote. Wanafunzi zaidi ya asilimia 76% wamekosa mikopo. Utumishi wa umma umekuwa kama tanuru la moto. Serikali haina dira wala sera ya pamoja. Mawaziri wako busy kuuza sura kwenye mitandao. Milo mitatu kwa sasa ni shida.

Biashara nyingi zinafungwa, hakuna wateja. Hakuna uhuru wa demokrasia. Hakuna furaha kwa watumishi hata wananchi wa kawaida. Wakulima mazao yao yanaoza chini. Wakuu wa wilaya wako busy kuweka wabunge na madiwani ndani. Kiwango cha Umasikini unazidi. Kodi kila kona hata kwa mamantilie... Boda boda kila siku ukamatwa na polisi. Machinga upigwa na kunyanganywa bidhaa zao..

Kwa kweli sidhani kama haya ndio mabadiliko tulikuwa tunayahitaji. Naamini Lowassa angefanya vizuri sana kuliko sasa.

Kwa niaba ya wananchi wote naomba nitumie fursa hii kuwaomba msamaha. Nilipiga kura upande wa kijani ila kwa kweli haya mabadiliko sio tuliotegemea.

Hatuna haja ya kumlaumu Jakaya kwa kukata majina ya wazoefu na ambao wangefanya vizuri, bali niwaombe tuvumilie kwa hii miaka michache mpaka 2020 tusifanye kosa tena. Kama funzo tumepata na tunaendelea kupata, 2020 tusirudie kufanya makosa..

Mungu alikuwa na uwezo wa kumzuia Sauli bali alimwacha ili wana wa~Israeli wapate funzo, ndipo baadaye akaja Daudi. Nani ajuaye malengo ya Mungu katika hili!...

Watu wengi wanalalamika na maisha magumu ni watu wa mijini ambao wengi wao wanaishinkwa dilii.
Sasa dilii zimezimwa watu wana hangaika.
-Je? Rais amempunguzia mtu mshahara?
-Rais amebana ubadhilifu, ufisadi, na wizi. Hivyo nafikiri mtu anaye lalamika aidha ni mmoja wa wanufaika ktk makundi hayo.
Hayo ni mawazo yangu lakini.
 
Back
Top Bottom