kenstar
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,276
- 1,441
Wote mnaolalama mlikuwa wapiga dili, sasa limezibwa, kelele kibao.
Utakuwa kula kulala wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote mnaolalama mlikuwa wapiga dili, sasa limezibwa, kelele kibao.
Na wanafunzi zaidi ya elfu sitini waliokosa mikopo walikuwa wapiga dili? Na wafanyakazi ambao nyongeza zimegandishwa, maelfu ya wahitimu kukosa ajira, watalii kuikimbia nchi na kusababisha mtafaruku wa nchi kupoteza biashara kwa Wenzetu na wish Hoteli zetu kugeuzwa matumizi kuwaachia Hosteli, maelfu wakiachishwa kazi nazo ni dili?Wote mnaolalama mlikuwa wapiga dili, sasa limezibwa, kelele kibao.
Twaweza?!!! Forbes anashindanishwa na rais gani?Twaweza: Asilimia 96 wanamkubali Rais Magufuli
Forbes Africa: Asilimia 84 ya Watu wote Barani Afrika wanataka Magufuli awe Person of the Year 2016
Jiongoze mwenyewe huyo Lowasa wako angechaguliwa na nani?
Magufuli angewekwa na watu kama kenyata huko forbes angeambulia patupu anashindana na panya road unategemea niniKumbe 2015 hakushinda?
Kelele za Mbowe kumbe ni uhuni tu.
Ila hata leo angeambulia kipigo cha aibu, we jionee mfano magufuli anavyokimbiza Forbes.
Mwanaume anae act kike kama wewe huwa nawapiga basanjo tuuNdio maana ya kuwa Rais. Hapana danganywa danganywa kila mara
Twaweza?!!! Forbes anashindanishwa na rais gani?
Duh, aisee.Labda umwage damu ya tohara. Maana nasikia bado unatembea na mkono wa taulo
Mtachonga weee lakini ndio hivyo tena. Imekula kwenu.Magufuli angewekwa na watu kama kenyata huko forbes angeambulia patupu anashindana na panya road unategemea nini
Raisi wa nchi anashindanishwa na Mwanasheria wa Rwanda?!!Mwanasheria wa Rwanda
Kula kulala huwezi kuelewa maana unaishi kwa shikamoo na upambeUnamaanisha uchaguz wa uenyekiti chadema??
Sina hakika kabisa na hilo labda kama wapiga kura wakiwa ni watumishi pekee.ni maon yangu lakiniTokea serikali hii iingie madarakani, maisha yamezidi kuwa magumu, ajira ni bomu linaloenda kulipuka muda wowote. Wanafunzi zaidi ya asilimia 76% wamekosa mikopo. Utumishi wa umma umekuwa kama tanuru la moto. Serikali haina dira wala sera ya pamoja. Mawaziri wako busy kuuza sura kwenye mitandao. Milo mitatu kwa sasa ni shida.
Biashara nyingi zinafungwa, hakuna wateja. Hakuna uhuru wa demokrasia. Hakuna furaha kwa watumishi hata wananchi wa kawaida. Wakulima mazao yao yanaoza chini. Wakuu wa wilaya wako busy kuweka wabunge na madiwani ndani. Kiwango cha Umasikini unazidi. Kodi kila kona hata kwa mamantilie... Boda boda kila siku ukamatwa na polisi. Machinga upigwa na kunyanganywa bidhaa zao..
Kwa kweli sidhani kama haya ndio mabadiliko tulikuwa tunayahitaji. Naamini Lowassa angefanya vizuri sana kuliko sasa.
Kwa niaba ya wananchi wote naomba nitumie fursa hii kuwaomba msamaha. Nilipiga kura upande wa kijani ila kwa kweli haya mabadiliko sio tuliotegemea.
Hatuna haja ya kumlaumu Jakaya kwa kukata majina ya wazoefu na ambao wangefanya vizuri, bali niwaombe tuvumilie kwa hii miaka michache mpaka 2020 tusifanye kosa tena. Kama funzo tumepata na tunaendelea kupata, 2020 tusirudie kufanya makosa..
Mungu alikuwa na uwezo wa kumzuia Sauli bali alimwacha ili wana wa~Israeli wapate funzo, ndipo baadaye akaja Daudi. Nani ajuaye malengo ya Mungu katika hili!...
Vipi unaota au unaongea na nani?Tokea serikali hii iingie madarakani, maisha yamezidi kuwa magumu, ajira ni bomu linaloenda kulipuka muda wowote. Wanafunzi zaidi ya asilimia 76% wamekosa mikopo. Utumishi wa umma umekuwa kama tanuru la moto. Serikali haina dira wala sera ya pamoja. Mawaziri wako busy kuuza sura kwenye mitandao. Milo mitatu kwa sasa ni shida.
Biashara nyingi zinafungwa, hakuna wateja. Hakuna uhuru wa demokrasia. Hakuna furaha kwa watumishi hata wananchi wa kawaida. Wakulima mazao yao yanaoza chini. Wakuu wa wilaya wako busy kuweka wabunge na madiwani ndani. Kiwango cha Umasikini unazidi. Kodi kila kona hata kwa mamantilie... Boda boda kila siku ukamatwa na polisi. Machinga upigwa na kunyanganywa bidhaa zao..
Kwa kweli sidhani kama haya ndio mabadiliko tulikuwa tunayahitaji. Naamini Lowassa angefanya vizuri sana kuliko sasa.
Kwa niaba ya wananchi wote naomba nitumie fursa hii kuwaomba msamaha. Nilipiga kura upande wa kijani ila kwa kweli haya mabadiliko sio tuliotegemea.
Hatuna haja ya kumlaumu Jakaya kwa kukata majina ya wazoefu na ambao wangefanya vizuri, bali niwaombe tuvumilie kwa hii miaka michache mpaka 2020 tusifanye kosa tena. Kama funzo tumepata na tunaendelea kupata, 2020 tusirudie kufanya makosa..
Mungu alikuwa na uwezo wa kumzuia Sauli bali alimwacha ili wana wa~Israeli wapate funzo, ndipo baadaye akaja Daudi. Nani ajuaye malengo ya Mungu katika hili!...
Mbona tayari mwenyekiti, we umeona wapi mjumbe wa kamati kuu anakaa high table?Unamaanisha uchaguz wa uenyekiti chadema??
Tokea serikali hii iingie madarakani, maisha yamezidi kuwa magumu, ajira ni bomu linaloenda kulipuka muda wowote. Wanafunzi zaidi ya asilimia 76% wamekosa mikopo. Utumishi wa umma umekuwa kama tanuru la moto. Serikali haina dira wala sera ya pamoja. Mawaziri wako busy kuuza sura kwenye mitandao. Milo mitatu kwa sasa ni shida.
Biashara nyingi zinafungwa, hakuna wateja. Hakuna uhuru wa demokrasia. Hakuna furaha kwa watumishi hata wananchi wa kawaida. Wakulima mazao yao yanaoza chini. Wakuu wa wilaya wako busy kuweka wabunge na madiwani ndani. Kiwango cha Umasikini unazidi. Kodi kila kona hata kwa mamantilie... Boda boda kila siku ukamatwa na polisi. Machinga upigwa na kunyanganywa bidhaa zao..
Kwa kweli sidhani kama haya ndio mabadiliko tulikuwa tunayahitaji. Naamini Lowassa angefanya vizuri sana kuliko sasa.
Kwa niaba ya wananchi wote naomba nitumie fursa hii kuwaomba msamaha. Nilipiga kura upande wa kijani ila kwa kweli haya mabadiliko sio tuliotegemea.
Hatuna haja ya kumlaumu Jakaya kwa kukata majina ya wazoefu na ambao wangefanya vizuri, bali niwaombe tuvumilie kwa hii miaka michache mpaka 2020 tusifanye kosa tena. Kama funzo tumepata na tunaendelea kupata, 2020 tusirudie kufanya makosa..
Mungu alikuwa na uwezo wa kumzuia Sauli bali alimwacha ili wana wa~Israeli wapate funzo, ndipo baadaye akaja Daudi. Nani ajuaye malengo ya Mungu katika hili!...