mkuu ubarikiweYaani watu wengine mnasikitisha mnoo kwa hoja zenu za ajabu, mimi ni wakili na tangu niwe wakili wala sijawahi kuona jambo lolote la maana ambalo serikali inafanya kwa ajili ya mawakili wa TLS.
1. Kuchagua majaji, jaji ni lazima awe mwanasheria na wanasheria ni wengi na sio kila mwanasheria ni mwanachama hai wa TLS, wakitaka majaji wanaweza kuchagua kutoka katika mawakili wa Serikali ambao wengi wao sio wanachama hai wa TLS.
2. Kushika nyadhifa za serikali, umefanya utafiti ni mawakili wangapi ambao ni wanachama hai w TLS na wameteuliwa katika nyadhifa za serikali? Inasikitisha sana kuona unajenga hoja ya wanaTLS wajipendekeze ili wapewe vyeo.
3. Chama kingine cha siasa, nakushauri usome sheria iliyoanzisha Tanganyika Law Society
Tanganyika Law Society | Law Association or About TLS | Tanganyika Law Society
4. Kuna nguvu kutoka mataifa ya nje kuifanya TLS iwe chama cha upinzani, unasikitisha kwa hoja za hovyo kama hizi, tambua kuwa TLS haijaanza leo wala jana, ni bahati mbaya tu wakati huu viumbe wengine wanataka kufanya siasa kila sehemu kwa faida zao binafsi.
Siasa ni nzuri kama inafanywa kwa uwazi na nia njema, lakini siasa inakuwa mbaya kama inafanywa kwa kukandimiza wengine.
Yani zile priorities walizokuwa wakipata wasahau.....ni jukumu lao sasa kusuka ama kunyoa.
Asiyesikia la mkuu....
Mimi kura yangu tayari nmeishatangaza hadharani simpi Lisu au Masha. Kuwapa watu hawa ni sawa na kukifanya chama cha TLS kuwa kamati ndogo ya chademaa jambo ambalo hatuwezi kukubali.
Hivi tangazo la kumsusia huyu mzushi threads zake mmeshalisahau? Nililiweka hapa miezi miwili iliyopita na likaungwa mkono, sasa nashangaa mnahangaika na......!!wote tumpuuze
JE NIN NANI MGOMBEA ASIYE MWANACHAMA WA CHAMA CHOCHOTE HAPA TANZANIA? TUANZIE HAPO KWANZATLS ni chama cha kitaalamu.Na kinatakiwa kibaki hivyo.Wakichagua wanasiasa itakuwa ni mwisho wa serikali kushirikiana na TLS NA HATA KUCHAGUA majaji na mawakili mbali mbali kutoka TLS kushika nyadhifa serikalini na kwenye vyombo vya kimataifa.SABABU KITAKUWA ni chama kingine cha siasa kama CHADEMA NK.
Kuna nguvu kubwa kutoka mataifa ya nje kuifanya TLS iwe chama cha upinzani.Tundu LISU ANATUMIKA tu kwenye hiyo agenda lengo likiwa kuifanya TLS iwe chama cha upinzani kisicho na hati ya kuandikishwa.
.Chama cha siasa tena?kwani wao wanachama wengine watakuwa wanamuangalia tu huyo Lisu akiwa anafanya kiwe cha siasa.Jaribu kuwa na upeo wa kufikiria.Kila mtu anahaki sawa ya kugombea cha msingi uwe na vigezo tu basi,hayo mengine tuwaachie wenye chama waamue wenyewe msiwafanye nyie ndio mabingwa wa kuwaamulia wayatakayo.TLS ni chama cha kitaalamu.Na kinatakiwa kibaki hivyo.Wakichagua wanasiasa itakuwa ni mwisho wa serikali kushirikiana na TLS NA HATA KUCHAGUA majaji na mawakili mbali mbali kutoka TLS kushika nyadhifa serikalini na kwenye vyombo vya kimataifa.SABABU KITAKUWA ni chama kingine cha siasa kama CHADEMA NK.
Kuna nguvu kubwa kutoka mataifa ya nje kuifanya TLS iwe chama cha upinzani.Tundu LISU ANATUMIKA tu kwenye hiyo agenda lengo likiwa kuifanya TLS iwe chama cha upinzani kisicho na hati ya kuandikishwa.
Priorities zipi hizo??Yani zile priorities walizokuwa wakipata wasahau.....ni jukumu lao sasa kusuka ama kunyoa.
Asiyesikia la mkuu....
Mimi kura yangu tayari nmeishatangaza hadharani simpi Lisu au Masha. Kuwapa watu hawa ni sawa na kukifanya chama cha TLS kuwa kamati ndogo ya chademaa jambo ambalo hatuwezi kukubali.
braza acha blah blah ngenyosha maelezo kabisa kuwa wakichagua mwanasiasa wa mlengo wa upinzani yani mwanachama wa upinzani. Kwani hata waliokuwepo ni wanachama pia wanasiasa wa chama tawala.TLS ni chama cha kitaalamu.Na kinatakiwa kibaki hivyo.Wakichagua wanasiasa itakuwa ni mwisho wa serikali kushirikiana na TLS NA HATA KUCHAGUA majaji na mawakili mbali mbali kutoka TLS kushika nyadhifa serikalini na kwenye vyombo vya kimataifa.SABABU KITAKUWA ni chama kingine cha siasa kama CHADEMA NK.
Kuna nguvu kubwa kutoka mataifa ya nje kuifanya TLS iwe chama cha upinzani.Tundu LISU ANATUMIKA tu kwenye hiyo agenda lengo likiwa kuifanya TLS iwe chama cha upinzani kisicho na hati ya kuandikishwa.
Kuna nguvu kubwa kutoka mataifa ya nje kuifanya TLS iwe chama cha upinzani.Tundu LISU ANATUMIKA tu kwenye hiyo agenda lengo likiwa kuifanya TLS iwe chama cha upinzani kisicho na hati ya kuandikishwa.
TLS ni chama cha kitaalamu.Na kinatakiwa kibaki hivyo.Wakichagua wanasiasa itakuwa ni mwisho wa serikali kushirikiana na TLS NA HATA KUCHAGUA majaji na mawakili mbali mbali kutoka TLS kushika nyadhifa serikalini na kwenye vyombo vya kimataifa.SABABU KITAKUWA ni chama kingine cha siasa kama CHADEMA NK.
Kuna nguvu kubwa kutoka mataifa ya nje kuifanya TLS iwe chama cha upinzani.Tundu LISU ANATUMIKA tu kwenye hiyo agenda lengo likiwa kuifanya TLS iwe chama cha upinzani kisicho na hati ya kuandikishwa.