Kama TLS watachagua mwanasiasa itakuwa ndio mwisho wa uhusiano wa serikali na TLS

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,907
TLS ni chama cha kitaalamu.Na kinatakiwa kibaki hivyo.Wakichagua wanasiasa itakuwa ni mwisho wa serikali kushirikiana na TLS NA HATA KUCHAGUA majaji na mawakili mbali mbali kutoka TLS kushika nyadhifa serikalini na kwenye vyombo vya kimataifa.SABABU KITAKUWA ni chama kingine cha siasa kama CHADEMA NK.

Kuna nguvu kubwa kutoka mataifa ya nje kuifanya TLS iwe chama cha upinzani.Tundu LISU ANATUMIKA tu kwenye hiyo agenda lengo likiwa kuifanya TLS iwe chama cha upinzani kisicho na hati ya kuandikishwa.
 
Yani zile priorities walizokuwa wakipata wasahau.....ni jukumu lao sasa kusuka ama kunyoa.

Asiyesikia la mkuu....

Mimi kura yangu tayari nmeishatangaza hadharani simpi Lisu au Masha. Kuwapa watu hawa ni sawa na kukifanya chama cha TLS kuwa kamati ndogo ya chademaa jambo ambalo hatuwezi kukubali.
 
TLS ni chama cha kitaalamu.Na kinatakiwa kibaki hivyo.Wakichagua wanasiasa itakuwa ni mwisho wa serikali kushirikiana na TLS NA HATA KUCHAGUA majaji na mawakili mbali mbali kutoka TLS kushika nyadhifa serikalini na kwenye vyombo vya kimataifa.SABABU KITAKUWA ni chama kingine cha siasa kama CHADEMA NK.

Kuna nguvu kubwa kutoka mataifa ya nje kuifanya TLS iwe chama cha upinzani.Tundu LISU ANATUMIKA tu kwenye hiyo agenda lengo likiwa kuifanya TLS iwe chama cha upinzani kisicho na hati ya kuandikishwa.

Hoja zingine ni za kijinga hata hazipaswi kujadiliwa. Raia ambaye ndiye kiongozi wa serikali ni mwanasiasa au ni mchimba makaburi? Mawaziri? Kama Jaji mkuu Agustine alikuwa mwanasiasa licha ya kuwa ni kinyume cha maadili kwanini suala hili liwe nongwa kwa TLS kuongozwa na the one and only Tundu Antipas Lissu?
 
TLS ni chama cha kitaalamu.Na kinatakiwa kibaki hivyo.Wakichagua wanasiasa itakuwa ni mwisho wa serikali kushirikiana na TLS NA HATA KUCHAGUA majaji na mawakili mbali mbali kutoka TLS kushika nyadhifa serikalini na kwenye vyombo vya kimataifa.SABABU KITAKUWA ni chama kingine cha siasa kama CHADEMA NK.

Kuna nguvu kubwa kutoka mataifa ya nje kuifanya TLS iwe chama cha upinzani.Tundu LISU ANATUMIKA tu kwenye hiyo agenda lengo likiwa kuifanya TLS iwe chama cha upinzani kisicho na hati ya kuandikishwa.
Miaka yote walipo kuwa wanaongozwa na makada wa ccm hamkujua?
 
TLS ni chama cha kitaalamu.Na kinatakiwa kibaki hivyo.Wakichagua wanasiasa itakuwa ni mwisho wa serikali kushirikiana na TLS NA HATA KUCHAGUA majaji na mawakili mbali mbali kutoka TLS kushika nyadhifa serikalini na kwenye vyombo vya kimataifa.SABABU KITAKUWA ni chama kingine cha siasa kama CHADEMA NK.

Kuna nguvu kubwa kutoka mataifa ya nje kuifanya TLS iwe chama cha upinzani.Tundu LISU ANATUMIKA tu kwenye hiyo agenda lengo likiwa kuifanya TLS iwe chama cha upinzani kisicho na hati ya kuandikishwa.
Sasa hivi tunawaonyesha kuwa tumechoka kutumiwa hapa ni LISSU TU
 
TLS ni chama cha kitaalamu.Na kinatakiwa kibaki hivyo.Wakichagua wanasiasa itakuwa ni mwisho wa serikali kushirikiana na TLS NA HATA KUCHAGUA majaji na mawakili mbali mbali kutoka TLS kushika nyadhifa serikalini na kwenye vyombo vya kimataifa.SABABU KITAKUWA ni chama kingine cha siasa kama CHADEMA NK.

Kuna nguvu kubwa kutoka mataifa ya nje kuifanya TLS iwe chama cha upinzani.Tundu LISU ANATUMIKA tu kwenye hiyo agenda lengo likiwa kuifanya TLS iwe chama cha upinzani kisicho na hati ya kuandikishwa.
Mbona siku zote kinaongozwa na wanasiasa mkuu? Au una maana wanasiasa wa vyama vya upinzani?
 
TLS ni chama cha kitaalamu.Na kinatakiwa kibaki hivyo.Wakichagua wanasiasa itakuwa ni mwisho wa serikali kushirikiana na TLS NA HATA KUCHAGUA majaji na mawakili mbali mbali kutoka TLS kushika nyadhifa serikalini na kwenye vyombo vya kimataifa.SABABU KITAKUWA ni chama kingine cha siasa kama CHADEMA NK.

Kuna nguvu kubwa kutoka mataifa ya nje kuifanya TLS iwe chama cha upinzani.Tundu LISU ANATUMIKA tu kwenye hiyo agenda lengo likiwa kuifanya TLS iwe chama cha upinzani kisicho na hati ya kuandikishwa.
Hoja haina mashiko, jaribu kuainisha kazi za TLS afu ndo uongee...
 
TLS ni chama cha kitaalamu.Na kinatakiwa kibaki hivyo.Wakichagua wanasiasa itakuwa ni mwisho wa serikali kushirikiana na TLS NA HATA KUCHAGUA majaji na mawakili mbali mbali kutoka TLS kushika nyadhifa serikalini na kwenye vyombo vya kimataifa.SABABU KITAKUWA ni chama kingine cha siasa kama CHADEMA NK.

Kuna nguvu kubwa kutoka mataifa ya nje kuifanya TLS iwe chama cha upinzani.Tundu LISU ANATUMIKA tu kwenye hiyo agenda lengo likiwa kuifanya TLS iwe chama cha upinzani kisicho na hati ya kuandikishwa.
Huo uhusiana una faida gani kama rais anasema anayetetea muharifu na yeye aunganishwe ashtakiwe.Kama wansheria wanaChakachuliwa kama Mwakyembe,Mchome ,Migiro nk,huo uhusiano una faida gani?
 
Yani zile priorities walizokuwa wakipata wasahau.....ni jukumu lao sasa kusuka ama kunyoa.

Asiyesikia la mkuu....

Mimi kura yangu tayari nmeishatangaza hadharani simpi Lisu au Masha. Kuwapa watu hawa ni sawa na kukifanya chama cha TLS kuwa kamati ndogo ya chademaa jambo ambalo hatuwezi kukubali.
mmeanza kuweweseka na huo ndio mwanzo tu wa kung'oa mapandikizi ya ccm kwenye taasisi muhimu
 
Back
Top Bottom