YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
TLS ni chama cha kitaalamu.Na kinatakiwa kibaki hivyo.Wakichagua wanasiasa itakuwa ni mwisho wa serikali kushirikiana na TLS NA HATA KUCHAGUA majaji na mawakili mbali mbali kutoka TLS kushika nyadhifa serikalini na kwenye vyombo vya kimataifa.SABABU KITAKUWA ni chama kingine cha siasa kama CHADEMA NK.
Kuna nguvu kubwa kutoka mataifa ya nje kuifanya TLS iwe chama cha upinzani.Tundu LISU ANATUMIKA tu kwenye hiyo agenda lengo likiwa kuifanya TLS iwe chama cha upinzani kisicho na hati ya kuandikishwa.
Kuna nguvu kubwa kutoka mataifa ya nje kuifanya TLS iwe chama cha upinzani.Tundu LISU ANATUMIKA tu kwenye hiyo agenda lengo likiwa kuifanya TLS iwe chama cha upinzani kisicho na hati ya kuandikishwa.